Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Hbr ya mtihani mwenzetuThnx lovely husband, nakupenda tetra wangu
Hbr ya mtihani mwenzetuThnx lovely husband, nakupenda tetra wangu
SawasawaKwa penati shemeji..
Kwa mdogo wako moneytalkWap tena
We omba tu Obe,...oh, hiyo ngumu sana upande wangu kwa hiyo hata maombi yangu yatakuwa magumu kukufanya ufanikiwe. Wanaoijua hiyo EI watakuwa washakuombea. Ukimaliza paper na ukaanza kufanya you know, like internship, nitakuomba uje unifanyie wiring (ina tofauti na EI?) kwenye kibanda changu , umeme wa REA unakuja
Ni salama Makave10?Pepa ilikuwaje!?
![]()
![]()
... Haiwezekani moneytalk dhamana bhana, atakuwa katako maswali yote ipasavyo..
![]()
![]()
Siku nyingine shemeji ili usijichoshe badala ya kuandika sawasawa we choronga tu hivi =Sawasawa

Hapana mimi japo sijamuona moneytalk, ila naamin anatako vizuri maswali yote ya mtihani...unajua unaweza kusema anatako wakati hujamuona. Maana kufanya tako liwe na ufanisi inahitaji juhudi kubwa sio kula tu, lazima ujiandae vizuri kwenye pepa ndo tako utaona linafanya kazi
Angalizo: Tako=tackle (kivumishi cha kuonesha kukabili maswali ya mtihani), usijaze maana chafu

Hapana, mie ndio wa kwanza kumuombea na kumtakia kila la kheri muulize mwenye.....nimeomba kidogo, makaveli10 yeye kaona tako akasitisha maombi
Salama sana ndugu yangu...Ni salama Makave10?
Tupo mkuu, vipi hali!?wakuu mpo hapa
Hahaha,...unajua unaweza kusema anatako wakati hujamuona. Maana kufanya tako liwe na ufanisi inahitaji juhudi kubwa sio kula tu, lazima ujiandae vizuri kwenye pepa ndo tako utaona linafanya kazi
Angalizo: Tako=tackle (kivumishi cha kuonesha kukabili maswali ya mtihani), usijaze maana chafu
Hahaha, tako la nani limeonwa?...nimeomba kidogo, makaveli10 yeye kaona tako akasitisha maombi
Yuko kalala kifuani hapa anajipatia farajaNenda kamfariji na uchovu wa mtihani