Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Hakuna Tofauti

...wikend inaendelea na kwa namna inavyoishiria basi utagundua kabisa hakuna jipya katika kuyaishi tunayoishi. Mambo ni yake yale na mapumziko ya leo huwa nakautaratibu ka kusoma vitabu na hadithi ambazo huwa zinawekwa humu Jukwaani, why, ni kwa sababu ninapenda kujifunza mengi na katika darasa ninalopata humu, nimegundua kitu kikubwa kimoja. Makapuku ninyini ni watu bora sana, yaani hata mjomba wangu pamoja na kutotulia kwake lakini kwa aunt yangu kafika , na ujue kuna tofauti ya kufika na kutulia inategemea tu na utakavyoyatumia maneno haya.
Muziki sasa, umegundua jumamosi huwa naandika aya mbili tu sababu sipendi kukuchosha maana hata mimi nina kazi ya kusoma, kupika na kuangalia katuni na huyu anayenihusu. Nakupenda kapuku na uwe na wakati mzuri wa mapumziko


 
Muziki: Hakuna Tofauti

...wikend inaendelea na kwa namna inavyoishiria basi utagundua kabisa hakuna jipya katika kuyaishi tunayoishi. Mambo ni yake yale na mapumziko ya leo huwa nakautaratibu ka kusoma vitabu na hadithi ambazo huwa zinawekwa humu Jukwaani, why, ni kwa sababu ninapenda kujifunza mengi na katika darasa ninalopata humu, nimegundua kitu kikubwa kimoja. Makapuku ninyini ni watu bora sana, yaani hata mjomba wangu pamoja na kutotulia kwake lakini kwa aunt yangu kafika , na ujue kuna tofauti ya kufika na kutulia inategemea tu na utakavyoyatumia maneno haya.
Muziki sasa, umegundua jumamosi huwa naandika aya mbili tu sababu sipendi kukuchosha maana hata mimi nina kazi ya kusoma, kupika na kuangalia katuni na huyu anayenihusu. Nakupenda kapuku na uwe na wakati mzuri wa mapumziko


Anko shikamoooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom