Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Lee empire au TranscendArosto tena wkati empire lee yuko wajameni.
Ahahhaha huyo atakuja tuKupasisha salam zetu kwa shemeji yako lyon lee
Kapuku You will always be my family.
Wakuu, Muishi kama siku mnayoishi ndio siku yenu ya mwisho..
Play smart, and enjoy you weekend.
Muwe na wakati mwema .
Ahahaha yaan wewe hapana aisee
Letlead
Hata sikumbukiNini tena sakayo!?
Nimekuambia niko na arosto babeUnalalaje mapema hii
Yaan maka me nilivyo nitakupenda lakini nionyeshe drama zako nitakuchukia mara mia utajiuliza hivi huyu ni yule shunie halaf nakusahau dk sifuri tuNapenda watu kama nyinyi ukiwa strong kama hv utaishi maisha yako kwa furaha katika hali yoyote..
Nataman dunia nzima ningeiambukiza tabia n moyo wangi.. hasa katika mahusiano.
Nyie kalaleni tu, tuacheni sie manungayembe tupambane na hali zetu za upweke.







Heee!!!Hakuna namna ingine acha anipe tu

Utamkuta nani sasaNgoja nlale mie, nitarudi mida ya mshana mie
Ahahhaha arosto hiyo veepNimekuambia niko na arosto babe
Sijaelewa mie kwani nikikupa ndio nini si nakupa tuHeee!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Shunie umeelewa lakini alichomaanisha!?![]()
![]()
Mie niko mwenyewe ujue, hujaona naambiwa ngorongoro hamna network MakaNyie kalaleni tu, tuacheni sie manungayembe tupambane na hali zetu za upweke.
Hilo cheko mmmh
Kwani si wewe ndio mwenye arosto!!Lee empire au Transcend
Mwenyewe ujue, Jana nilimkuta obe, nae akaanza koromaUtamkuta nani sasa
Ujio hana.. atachelewa na salam zetu zitapoa.Ahahhaha huyo atakuja tu
Pouwaaaaa babeAhahhaha arosto hiyo veep