Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
Binamu yangu kipenzi santeenakupenda mimi
...asante, nashukuru aunt yangu. MF inakupenda sana na hasa mimi na BH (msalimie sana)
Binamu yangu kipenzi santeenakupenda mimi
...asante, nashukuru aunt yangu. MF inakupenda sana na hasa mimi na BH (msalimie sana)







Mama atakuja kufukua makaburi atakutana na ujumbe wakeHoney wanguWapi kipenzi changu mimi
MmmhMmh nimeanza lini mm kutokukupenda tena na mbebez unae
Nakupenda wewe tetra wangu mimi peke yanguNani mbebez?
MmhDuh...jina zuri thou![]()
![]()
Jaman me staki mumuite hivyo my king wanguHabari mbabez wa moneytalk
.....nani mzee, au unataka kusema mimi ni mzee? Ngoja nimtafute anko Lyon Lee alete cheti changu cha kuzaliwa ,,ila sijui kama atakipata. Nilipotaka kwenda kupiga pasport ilibidi nikaape mahakamani
Narudia tena, mimi ni kijana sema nina mambo ya kizee

kipenzi mbona mnanitia presha lakiniNdoa yangu bado changa shunie
VeeepMmmh
Acha wivu wala presha kuwa na amani zotekipenzi mbona mnanitia presha lakini
Mlevi alianguka kutoka 4th floor mpaka chini. Watu wakaja wakipanic wakamuuliza , "nini mbaya?" Akasema " sijui ata Mimi nimefika tu sahii"![]()

Siwaelewi elewi nyieVeeep
utamu wa mapenzi yake nimeshaujua mwenzio, lazima niwe na wivuAcha wivu wala presha kuwa na amani zote
Kama hata mm unanionea wivu mmojawapo niliyekupa tetra sawa mamaSiwaelewi elewi nyie
utamu wa mapenzi yake nimeshaujua mwenzio, lazima niwe na wivu
Mmh mwenzangu......Kama hata mm unanionea wivu mmojawapo niliyekupa tetra sawa mama