Makapuku Forum

Makapuku Forum

.....nani mzee, au unataka kusema mimi ni mzee? Ngoja nimtafute anko Lyon Lee alete cheti changu cha kuzaliwa ,,ila sijui kama atakipata. Nilipotaka kwenda kupiga pasport ilibidi nikaape mahakamani
Narudia tena, mimi ni kijana sema nina mambo ya kizee
Hahahaha...na shkamoo unazopokea kila leo. Nikajua wewe ni mkongwe kumbe bado una muda wa kutosha kula mema ya nnchi...teh teh teh
 
Mungu azidi kukuweka tu sakayo wangu sina cha kuishkuru jf zaidi ya kukupata wewe watanitenga wote ila we huwezi nitenga hata mara moja nilipo upo unaweza hata pigana au kugombana kwa ajili yangu pale unapoona naonewa nakupenda sanaaaa

...mimi ndo naweza hata kuanzisha vita kwa ajili yako. Wewe hata kama unahisia tu kuwa kuna mtu anataka kukuonea nijulishe nitoe onyo la kufungia mwaka.
Namshukuru sana mjomba kwa kukupata wewe kwa bahati mbaya
 
Mungu azidi kukuweka tu sakayo wangu sina cha kuishkuru jf zaidi ya kukupata wewe watanitenga wote ila we huwezi nitenga hata mara moja nilipo upo unaweza hata pigana au kugombana kwa ajili yangu pale unapoona naonewa nakupenda sanaaaa
Love you more sweetheart.... Wewe ni zaidi ya ndugu, mtu ambaye nimekuwa wa kwanza kukulilia na ukanielewa na ukanifariji!!! Love you babe
 
Love you more sweetheart.... Wewe ni zaidi ya ndugu, mtu ambaye nimekuwa wa kwanza kukulilia na ukanielewa na ukanifariji!!! Love you babe
1465214373827
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom