Hahahah, sasa uwe unazikataa hizo shkamoo, utazeeka haraka
Hahaha. NalogOff
Sio kwasababu ya ule msemo pendwa kuwa wakubwa wanafaidi??...nikizeeka ndo ujuzi unaongezeka, yaani nakuwa kama mcheza kungfu, hakuna master kijana.
Sitaki kuzikataa zina maana kubwa sana kwangu
Una nini we binamu kwani ujenzi wa matofali umeelewa vipi
Sawa mheshimiwa, wasalimie wote...oh, nilikuwa nakukumbusha tu wala sina hofu. Najiandaa kwenda Kigamboni Vijibweni
Hamna mkuu...marahaba, vipi kuna jipya?
Unaenda wapi tena tetra ebu rudi
Ahahahhhh yaani wewe...nimeelewa kuwa kuna matofari lazima yajegewe mipaka, maana unaweza kujikuta unajenga matofari kwenye eneo la serkali likabomolewa kama jengo la tanesco, si utapoteza matofari tu kwa kujenga eneo la wazi
Nakukimbia wewe shunie, nipe sababu ya kurudi nitarudiUnaenda wapi tena tetra ebu rudi
Unanikimbia mimi nina nini tena jamaan au ninatishaNakukimbia wewe shunie, nipe sababu ya kurudi nitarudi
Nipo mwanangu yaani napita koote Ubarikiwe mwanangu mimi BH LOVE YOUSANAAMama angu mie nakuona leo kufukua makaburi umemrithi mke mwenzio husna muba![]()







Nko poaNiko poa. Uko mzima Mrs Shululu?
Nipo mwanangu yaani napita koote Ubarikiwe mwanangu mimi BH LOVE YOUSANAA![]()
![]()






love u too mom 
Binamu yangu kipenzi santeeMuziki: Wikend Njema
..sitaandika mengi sana leo maana ni wikend, na juma zima nimekuchosha kwa maneno mengi ambayo najua kabisa huna sababu ya kuyakumbuk hasa yale ambayo huwa ninaandika kichwa kikiwa UI, ila mimi kila ninapoingia humu najisikia vizuri sana maana kwanza huwa nakukuta wewe mtu mzuri kabisa ambaye amewahi kutokea maishani kwangu.
Muziki sasa, ni chaguo la Shunie ambaye ni aunt yangu anayejulikana na familia yetu, nakufurahia shululu , Tumosa , Sakayo , Transcend , husna muba , BlessedHope ,Tetramelyz , SHIMBA YA BUYENZE , koncho77 , dumejeuri , Mndali ndanyelakakomu , moneytalk , Nyagei , Gentries na wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa. Usiku na wikend njema

nakupenda mimi