Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Wikend Njema

..sitaandika mengi sana leo maana ni wikend, na juma zima nimekuchosha kwa maneno mengi ambayo najua kabisa huna sababu ya kuyakumbuk hasa yale ambayo huwa ninaandika kichwa kikiwa UI, ila mimi kila ninapoingia humu najisikia vizuri sana maana kwanza huwa nakukuta wewe mtu mzuri kabisa ambaye amewahi kutokea maishani kwangu.

Muziki sasa, ni chaguo la Shunie ambaye ni aunt yangu anayejulikana na familia yetu, nakufurahia shululu , Tumosa , Sakayo , Transcend , husna muba , BlessedHope ,Tetramelyz , SHIMBA YA BUYENZE , koncho77 , dumejeuri , Mndali ndanyelakakomu , moneytalk , Nyagei , Gentries na wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa. Usiku na wikend njema

 
Muziki: Wikend Njema

..sitaandika mengi sana leo maana ni wikend, na juma zima nimekuchosha kwa maneno mengi ambayo najua kabisa huna sababu ya kuyakumbuk hasa yale ambayo huwa ninaandika kichwa kikiwa UI, ila mimi kila ninapoingia humu najisikia vizuri sana maana kwanza huwa nakukuta wewe mtu mzuri kabisa ambaye amewahi kutokea maishani kwangu.

Muziki sasa, ni chaguo la Shunie ambaye ni aunt yangu anayejulikana na familia yetu, nakufurahia shululu , Tumosa , Sakayo , Transcend , husna muba , BlessedHope ,Tetramelyz , SHIMBA YA BUYENZE , koncho77 , dumejeuri , Mndali ndanyelakakomu , moneytalk , Nyagei , Gentries na wewe unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kabisa. Usiku na wikend njema

Binamu yangu kipenzi santee nakupenda mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom