Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nimejikuta nacheka binamu jamaan...mimi ndo naweza hata kuanzisha vita kwa ajili yako. Wewe hata kama unahisia tu kuwa kuna mtu anataka kukuonea nijulishe nitoe onyo la kufungia mwaka.
Namshukuru sana mjomba kwa kukupata wewe kwa bahati mbaya








nyimbo yangu bora ambayo sichoki kuiangalia wala kuisikiliza