....anko, sasa hivi maumivu yamepungua, nimekula madiclopar kama kichaa, kumbe yanasaidia bhana! wikend nimeshinda nasikiza gospel tu wala sijaweza kufanya kitu kingine.
Ila anko siku nyingine misala yako siji hata ukiniita vipi, haya maumivu ni kwa sababu nilikuja kuingilia ugomvi wakati unagombana na mchumba wa Perepetua, jamaa anapiga balaa, vipi mbavu zako