Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Hahahaha.True.. mama wa kambo hawez toa upendo sawa na mama aliyekuzaa, sasa sijui na hii sikukuu inawalenga mama gani?
Mie sijui labda Jimena na lizziebettie watusaidie hapa.
Hahahaha.True.. mama wa kambo hawez toa upendo sawa na mama aliyekuzaa, sasa sijui na hii sikukuu inawalenga mama gani?
Njemaa saana kaka.....Fresh kabisa, za jumapili?
Brother leo sijaenda aisee!Pouwa mkuu
Vip umeenda kusali braza??
Shem em nisaidie definition nzuri ya mamaSisi wote ni wamama
Wapo wenye uwezo wa kutoa upendo kama mama mzazi.
Wewe si mama ni binti.Sisi wote ni wamama
Mama wa watoto wanne mm!Wewe si mama ni binti.
Asante bro, pande za wap?Njemaa saana kaka.....
Karibu tumalizie weekend
Kuna mda ulipotea nkajua ndo umeenda churchBrother leo sijaenda aisee!
Ila najua umeniombea.
Mkuu, hapa jotro CTY...Asante bro, pande za wap?
Mama ni mwanamke yyte mwenye mtoto. Pia huyo mtoto anaweza kuwa wa kwake kabisa au wa kuasili. Sijui nimepatia.Shem em nisaidie definition nzuri ya mama
Ha haaa haah bado sita...Mama wa watoto wanne mm!
Wanawake wenye upendo kwa watoto wa menzao kwenye mia labda utapata mmoja tu.Wapo wenye uwezo wa kutoa upendo kama mama mzazi.
Wanawake wenye upendo kwa watoto wa menzao kwenye mia labda utapata mmoja tu.
Hapo ndiyo ninaposhindwa kiwaelewa wanawake kabisa.
Yes...maombezi yamefanyika kwa wote....Brother leo sijaenda aisee!
Ila najua umeniombea.
Wa tano yupo njiani hapa anakuja.Ha haaa haah bado sita...
Asante shemAisee!![]()
![]()
.
Basi hongera.
Mambo yalinibana sana kuanzia jana jioni.Kuna mda ulipotea nkajua ndo umeenda church
Poa mkuu, sa ivi nipo mitaa ya kati huku lumumba. Ntakushtua baadae nikisogea karibu na pande hizoMkuu, hapa jotro CTY...
Rivaside