Makapuku Forum

Makapuku Forum

MKE JEURI

(The Wife's Tyrant)

S

Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←

Tukija huki Uswahilini katika nyumba za udongo
"haya sasa kula kiazi cha leo leo hicho"
Sheby anahangaika sana, na nia yake anataka kuoa jiko la pili yaani mke wa pili ndio mana anahangaika kutafuta mke bora kupitia hali ngumu ya maisha,...
Sheby alifika katika boma alilopangisha, lakini hakukuta mtu, na wakati huo ilikuwa ni mida ya saa nne hivi
"kula kiazi mbatata apo weweee"
Alikuwa akifanya biashara kwa matangazo ya mdomo wake, mana biashara ni matangazo,..
"aahhhhh hawa watu wamekwenda wapi tena"
Sheby alijiuliza baada ya kukuta milango imefungwa na hakukuwa na mtu,...
"aahh watakuwa wamekwenda kuteka maji tu..... Haaaaaaaaaya kula kiazi mbatata apo weweeeee"
Sheby aligeuza mkokoteni wake ili arudi barabarani kuendelea na biashara yake...
"Haaaaaaaaaaaaaaaya kula kiazi cha ch...."
Ghafla Sheby alisita kutangaza biashara yake, kana kwamba kuna kitu kaona....
"kula kia.... Kiaaaz.... Kiaaaz"
Utangazaji ulimshinda na kujikuta akitangaza kwa muda mrefu kwa maneno kidogo tu...
"kula kiazi u... Ut... Uta... Utamu... Ah ah No... Kula kiazi mbatata"
Sheby alijikuta anakosea kutangaza bidhaa alionayo na kutangaza bidhaa ambayo hana..

Wahenga walisema kuwa hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, na hakuna kizuri kisicho na kasoro. Kijana sheby siku zote ni mtu wa kutafuta mke bora mana nia yake ni kuoa mke wa pili, mana mke alionae kwa sasa sii mke bali ni gume gume, kijana huyo alifika katika chumba alichopangisha huku uswahilini na kukuta chumba kikiwa na kufuli, maana yake hakukuwa na mtu,.. Sheby anaamua kutoka na mzigo wake wa viazi huku akitangaza biashara yake ya uongo na kweli,.. Lakini hamadi alishangaa kumwona zai na shadi wakiwa katika mavazi ya kupendeza sana kitu ambacho sheby alibaki mdomo wazi, haswa haswa vazi alilovaa zaituni lilikuwa vazi la kubana liliomchora umbo lake lote, yaani alipendeza mpaka alikera machoni mwa watu,..
"zai? Ni wewe kweli?"
Aliongea sheby huku akimfuata na kumshika, lakini zai alikuwa na wasiwasi sana huku akiangaliana na shadi, wakati huo shadi kaangalia pembeni huku akibofya simu yake...
"ni mimi au umenisahau mchumba wako"
Alijibu zaituni huku akijiskia aibu ya hali ya juu...
"nimefika pale nyumbani sijakukuta ulitoka saa ngapi"
"mbona nimetoka asubuhi tu"
"aahhhhh basi nisamehe mke wangu mana nilijua umetoka jana"
"heeeeee sasa jana nitakuwa nimelala wapi"
"basi jamani mamy,... Nimeacha viazi pale utapika ule sawa mke wangu"
"sawa baby"
"shadi mambo"
"safi tu hali yako"
"salama"
Lakini sheby alimwangalia shadi kwa jicho kali sana kana kwamba shadi kuna kitu kafanya ila sheby hajakipenda kabisa...
"sasa zai narudi baadae wacha nikauze uze"
"sawa mume wangu"
Sheby aliondoka lakini kichwa kilianza kuwaza mambo mengi sana kuanzia hapo hakuwa na raha...

Huku zai na shadi wakiwa wameshafika nyumbani
"umeona eee... Mi najua haliwezi jua ulipotoka, ona lilivyopagawa kama sio mpenzi wake vile"
Aliongea shadi huku akiwa kakaa kitandani
"nakwambia niliogopa nikajua napigwa vibao pale pale"
"acha uoga zai,... Hebu angali sasa hivi una shilingi ngapi"
"mmmhhh shost.. Nakwambia yule boss unajua ilikuwaje, kwanza kanipa simu ya tachi hii hapa... Afu kanipa elfu 50 ya vocha na elfu 50 ya nauli, yqani hapa nilipo nina laki moja na simu mpyaaa"
"umeona kazi ilivyo tamu eee"
"mmmhhh lakini shadi? kwani ni lazima tuende kila siku?"
"yes, . Ukiona dume hili linazingua unaliacha"
"mmmhhhh sasa si ndio umalaya wenyewe huo au"
"sasa waogopa nini zai... Ona sasa una simu na pesa taslimu, je ungelala ungezitoa wapi"
"ni kweli shost lakini mmmhhh"
Zaituni tayari keshajiunga na CCMT (chama cha malaya Tanzania)..

Tukija huku nyumbani kwa sheby tunamwona mke wa sheby akitoka kuelekea hospitali,... Alichukua gari yake kisha huyoo kaondoka zake, yaani haamini kama kweli ana mimba
Mwai anafika hospitalini akiwa na haraka ya hali ya juu mno,..
"dokta, dokta"
"habari yako mama"
"salama tu... Nataka kupima dokta"
"unapima nini sasa"
"nataka kujua kama nina mimba, mana sijielewi elewi"
"ok, punguza presha kwanza"
Basi mwai alikaa kidogo kisha damu yake ikapoa kiasi, mwai alifanyiwa vipimo vyote
"ni kweli, una mimba ya wiki moja"
"mungu wangu weeeee, nitafanyeje mimi"
Mwai alitoka hapo na kushindwa kuamini kweli ana mimba... Aliingia kwenye gari kisha akachukuwa simu yake... Alimpigia mpenzi wake ambae ni jemsi, mana kama unakumbuka ndoa ya yeye na sheby walilazimishwa ila sio hiari yao, hivyo kila mmoja ana mpenzi wake,..
"haloo jemsi mambo"
"poa niambie baby"
"safi tu, nataka Nikwambie jambo zuuuri"
"jambo gani tena"
"we kubali basi jamani"
"haya niambie"
"wiki mbili zilizopita tulifanya mapenzi bila hata kutumia kinga... So, leo nataka kukwambia kuwa nina mimba yako"
Aliongea mwai huku akiwa na furaha,
"lakini mwai mpenzi wangu... Hali yangu si unaijua lakini.. Mimi sina uwezo wa kuilea hio mimba na pia siwezi kuikubali mana ulishawahi kuniambia umeolewa wewe"
"James, nilishakwambia huyu mwanaume ni bwege tu hajawahi kunigusa yaani hata mwili wangu haujui ulivyo... Hii mimba ni yako kweli"
"hapana bwana... Mimi siwezi kukubali"
"lakini kama hofu yako ni kuilea, basi mimi naweza na sintokuagiza chochote kile, nitailea nwenyewe lakini we kubali tu mimba ni yako"
"mmmhhh nitaamini vipi"
"akizaliwa tutampima"
"ok sawa"
Mwai alifurahi kuskia james kakubali kua hio mimba ni yake....

Sasa tukija huku kwa mama yake zaituni akiwa kakaa na mtoto wake zainabu ambaye ni pacha wa zaituni pamoja na jamila ambae ni dada yao mkubwa,
"mama ivi jana yalikuwa macho yangu au nilikuwa naota"
"kwani uliona nini na wewe"
Mama aliuliza kwa mshangao,
"nilimwona zaituni saa nane za usiku"
"mschiuuuu... Nitolee ndoto zako za usiku mimi"
"kweli mama nilimwona mwanao tena alipendeza huyo"
"we zainabu, sasa huyo ndugu yako kama unavyomjua haoni, haya huko mjini saa hio anatafuta nini"
Aliuliza dada yao ambae ni jamila,
"heeeeeeeee ivi hujui kama sasa hivi anaona"
"anaona???.... Kafanya nini mpaka kaona"
"heeeeeeeee inaenda mwezi wa tatu huuu"
Jamila yeye kaolewa hivyo mambo yanayofanyika huku yeye hayajui, hata alipokuja alishangaa sana kuona nyumba yao imezidi kuwa nzuri zaidi, na mbaya zaidi anaambiwa kuwa mdogo wake sio kipofu tena...
"jamani nani katoa msaada mkubwa hivyo"
"ni mpenzi wake huyo... Kamchukuwa na kwenda kumfanyia kazi"
"inaonekana kapata mpenzi tajiri eee"
"sanaaaaa, ila huezi amini hata zai mwenyewe hajui kama mpenzi wake ni tajiri"
"kwanini sasa"
"sijui"
Walijikuta wanaongea mambo mengine na kusahau jambo la zai kutembea usiku alianza lini,... Mana huyu Zainabu ni mmoja kati ya CCMT hivyo kumuona pacha wake huko katika mitaa anayotembea...

Tukija huku ofisini kwa kijana sheby ikiwa ni mida ya jioni hivi kila mmoja alikuwa akijiandaa kuondoka zake.. Ghafla mfanyakazi wake mmoja wa kiume kaja ofisini kwa sheby,.. Ni washkaji sana na wamezoeana sana japo ni boss kwa mfanyakazi,..
"aaahhhhh boss naona bado upo na wakati tunaondoka sie"
"aahhhhh mawazo mengi bwana"
"sasa skia mzee.... Jana saa ngapi sijaingia mitaa ya kati nikakutana na toto bichiiiiii"
"wapi uko"
"mjini kati... Mtoto alitupia, mkali nikamwona piga mistari mingiiii kaingia laini... Ndani... Kichapo"
"eeeehh mambo yako ayooo"
"mtoto rangi ya chocolate shepu ya maana"
Saidi alikuwa akiongea kwa kujisifu sana
"sawa bwana kula ujana"

Sasa tukija huku kwa akina rose wakiwa ndio wanafika nyumbani na kumkuta mwai kakaa kwenye gari yake akiwa anawasubiri rafiki zake wakubwa...
"ooohhhh afadhali mumefika,.. Nilikuwa nawasubiria muda tu yani"
"we nawe kwanini usingepiga simu sasa.."
"mmmhhhh rose... Kwani vinapigika simu"
"heeeeeee kwani vipi mwenzetu"
"we acha tu, nina janga hilo sijui nilipeleke wapi"
Aliongea mke wa sheby huku wakiingia ndani, kama kawaida yao wakikutana umbea mwingiiii...
"enheee hebu nipe umbea mana wewe kwa umbea umo kweli"
"yaani huu sio umbea.. Ni ukweli mtupu"
"nini tena mwai... Au Umeachika nini"
"bora hata ningeachika rose"
Mwai alikuwa anawaza atamwambia nini sheby kuwa ana mimba yake na wakati hajawahi kulala nae hata siku moja japo ni mume wake,..
"kwani una nini"
"nina mimba rose"
"heeeeeeee sasa cha ajabu ni kipi hapo"
"nina mimba lakini sio ya mume wangu... Ni mimba ya james"
"Eeeeehhh maakubwa ya jongo hayo"
"nipeni ushauri basi jamani nifanyeje"
"lakini mwai, kwanini mtoto wa watu hujawahi kumpa haki yake ya ndoa"
"ni kweli... Lakini mi simpendi yaani hata kumpa mwili wangu naota kama vile nafanya na mbwa vile"
Ghafla mary kadakia
"we dada mwai, yaani ukifanya mapenzi na huyo unahisi kufanya na mbwa?"
"we mary kwanza we bado mdogo yatakukuta haya"
"sawa lakini sio hivyo dada mwai unamkufuru mungu"
"atajua mwenyewe mi nakaona kama kambwa tu"
Mary hakutaka hata kusikiliza akaingia zake chumbani mana wamepangisha dabo rumu....
"sasa skia mwai mi nataka nikupe ushauri mmoja tu"
"ushauri gani huo"
"tembea nae.. Leo akirudi mpokee vizuri, mpeti peti... Mpe kitumbua chako, baada ya wiki unamwambia mimba ni yake... Hakatai ng'ooooo"

Je? Mwai atakubali kulala na sheby??.. Na je sheby atakubali kulala na mwai??... Je? Mmoja akikataa itakuwaje???...
 
MKE JEURI

(The Wife's Tyrant)

Sehemu Ya 23

Mtunzi..... MoonBoy

Simu No. +255714419487 WhatsApp


Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←

Mshangao ulizidi kumuelemea kijana sheby na kushindwa kutoa hata neno moja,.. Mwanaheri alimvua mumewe kila kitu kisha akawa anampeleka bafuni,.. Sheby kufika bafuni kakutana na jambo lingine, leo haogi maji ya mvua au maji yanayotoka juu, leo anaoga kwenye ndoo, tena maji yalikuwa na mauwa kadhaa tena yaliokuwa yakinukia vizuuri kabisa.. Sheby mshangao ulikuwa mzito kwake.. Mke alitoka ili mume aoge mwenyewe,... Sheby alimaliza kuoga kisha akawa anatoka hapo sebuleni kuangalia taarifa za habari.... Mezani alikutana na chai safiiii iliowekwa viungo vyote, yaani sheby muda wote huo kabaki kua kimyaa,.. Hajatoa hata neno moja kwa mkewe..
"karibu chakula mume wangu"
Sheby alikuwa hakatai wala nini, kanawishwa maji kisha kala chakula alichopika mkewe...
Sasa kuumbe kukaa kimya kwa sheby halikuwa jambo la kawaida,.. Mwanaheri aliangalia pembeni na kujichekesha kinafki huku akikumbuka kitendo alichokifanya kabla mumewe hajaja... Sasa alikumbuka saa ile akiwa kwa marafiki zake kule kwa akina rose na mary.... Sasa kumbe alipokuwa pale ilikuwa hivi.........

ENDELEA........

"yeye hatokufanya kitu kwa uzezeta wake... Lakini je familia yake na yako vipi wakijua mimba sio ya mumeo?"
Mwai alikaa kimya huku rose akisema
"hilo nalo neno mary"
"aaahhhhhhhh yaani anione uchi wangu kweli... Yaani simpendi yule kijana nyie acheni tu"
"au kama vipi kaitoe utulie"
"no, siwezi kuitoa kwasababu hata James nimeshampa taarifa hizo na kasema nimtunzie mtoto wake"
"basi lazima uonewe uchi wako mama"
"mmmmhhhhh"
"sio mmmhhh, tena wahi nyumbani akukute ndio itakuwa vizuri"
Aliongea rose huku akikaa kwa umbea,..
"rose, unajua kuwahi sio tatizo, tatizo ni kwamba sheby hatokubali kulala na mimi"
"ina maana nyie wote hampendani"
"hilo ndio jibu rose"
"duuuuuuu hapo unayo kazi shost, mimi nilijua yeye anakupenda ila wewe humpendi, kumbe ni hivyo.... Lakini hakuna shaka"
Aliongea rose huku akiamka tena,..
"kwanini nisiwe na shaka jamani rose"
"skia, nina mzee huyo twende nikupeleke... "
Sasa kabla mwai hajakubaliana na rose, ghafla mary kadakia
"heeeeee rooose asa mambo hayo yanini... Kwanza penzi la kishirikina hua halidumu"
"mary, mimi wacha rose anipeleke mana mi nataka nimpumbaze kwa siku moja tu basi"
"mmmhhh haya safari njema"
"kwaio we huendi"
"akhaaa mi siendi"
Mary alikataa kwenda kwa mganga,

Dakika chache walifika kwa mganga huyo mana walikuwa wakitumia usafiri wa gari,..
"karibuni sana"
Sauti ya mganga ikiwakaribisha ndani, na wakati huo inakwenda kama saa 12 hivi jioni,.. Waliingia katika kibanda hicho na kueleza shida yao yote..
"babu mimi nataka dawa ya kumpumbaza mwanaume kwa siku moja tu"
Aliongea mwai huku akiwa kapiga magoti mbele ya babu huyo,..
"kwahio huyo ni hawala wako au mumeo"
Mwai aliwaza amjibu nini huyo mganga
"ni hawala tu"
Rose alishtuka kuskia mwai kasema ni hawala tu
"we mwai, hata mungu hapendi,.. Mwaya babu huyo ni mume wake"
"sasa kwanini anaficha"
"anaficha kwasababu hampendi.. Hivyo hapo alipo ana mimba ya mtu meingine, sasa anataka ampumbaze ili alale nae amsingizie hio mimba"
"kwani hajawahi kulala nae"
"ndio"
"mmmhh ok sasa... Kwaio wataka ulale nae siku moja tu"
"ndio"
Basi mganga alianza kufanya mambo yake, baada ya muda kidogo alikuja akiwa na kopo lililojaa mauwa,
"unaona haya mauwa"
"ndio babu nayaona"
"haya ni moja ya masharti ya dawa hio.... Kwanza kabisa masharti ya dawa hio ni mazito ila ni mepesi kwa anaeyaweza"
Mwai alishtuka baada ya kutajiwa baadhi ya masharti ya mzee huyo..
"masharti gani babu"
"kwanza kabisa unatakiwa kuwa na upendo wa kama mke... Weka maua kidogo kwenye geti, ila mtu asione.."
Aliongea mganga huyo,.. Na sisi tunapata picha kuwa ndio mana kisoji alitolewa kwenye geti na kuambiwa akapumzike..
"sawa babu"
"akisha yakanyaga hayo mauwa ataanza kuwa mpole,.."
"lakini babu... Mume wangu anakuja kwa gari sasa atayakanyaga vipi pale getini"
Aliuliza mwai huku akiwa makini kwa masharti atakayopewa..
"hata kama atapita juu ya geti kikubwa apite eneo lile, na kama ni gari basi dereva awe yeye... Afu geti ufungue wewe.... Kama kaja na chochote kashika mkononi, mpokee.. Afu akiingia ndani mvue viatu na nguo zake... Hakikisha hii dawa unainawa kabla ya kufanya hayo yote,.. Weka mauwa kotandani na ahuka jipya.. Mpelekee maji ya kuoga uyaweke hii dawa.. Mpikie chai muekee hii dawa... Pika chakula mlishe kama mumeo,.. Na mwisho kabisa nunua nguo ya ndani mpyaa, kisha inyunyizie hii dawa kisogo kisha ivae, na usiivue wewe, mwache aivue mwenyewe, ukiivua wewe utaharibu masharti ya dawa.. Na haitokubali tena kwasababu umechukuwa dawa ya mara moja.. Hivyo mizimu yangu haitokubali kukuseidia kama utataka kwa mara nyingine.."

Babu alimaliza kuongea misha mwai akaanza
"babu nina uhakika mimi nataka dawa ya mara moja tu, yaani sitaki hata kurudia nae tendo hilo"
"sawaaa.. Shika dawa husika.. Shika na haya mauwa.. Jazi kwako"
"ni shilingi ngapi babu"
"weka kiasi chochote na uondoke bila kugeuka nyuma"
Mwai alitoa pesa bila hata ya kuhesabu na kuzibwaga hapo kwenye ungo wa mganga huyo, kisha haooo wakaondoka zao yeye na rose wake..

KUMBUKUMBU ILIISHIA HAPO

"karibu chakula mume wangu"
Sheby alikuwa hakatai wala nini, kanawishwa maji kisha kala chakula alichopika mkewe... Sheby kwa wakati huo hakuwa na la kusema zaidi ya kucheka cheka tu,..
Mwai alinyanyua kijiko kilichokuwa na chakula cha saizi kisha akamlisha mumewe, tena wakati huo alikuwa akimshika shika katika kifua chake, sheby hua hakaagi na taulo baada ya kuoga, lakini leo kabakiwa nalo.. Wakati huo mwai katupia kanga na taiti ndani, yaani hapo mapaja yote yalikuwa wazi lakini huezi amini sheby hakuwa akimtamani hata kidogo yaani alimuona kama ng'ombe tu,.. Sema wakati huo tayari keshalegezwa na kila kitu, ila mapenzi tu ndio hataki.. Sasa mwai akashangaa mbona hata dudu ya mumewe haistuki hata kidogo... Mwai aligundua sababu kwanini hakuwa akimtamani.. Basi baada ya masaa mawili sheby alielekea katika kitanda chake mana hapo chumbani kwao kuna vitanda viwili, lakini kuna kimoja spesho..
"hapana mume wangu leo tulale wote"
Aliongea hivyo mwai huku akimshika mkono,.. Sheby hakutaka kwenda, ila mwai alijua sababu,.. Alimwacha kisha akaenda kwenye begi na kutoa chupi nyepesiiiii, tena ilikuwa mpyaaa alikwenda bafuni na kuinyunyiza vile vidawa kisha akaivaa..... Sasa alipofika tu chumbani sheby alihisi kuina mwanamke wa tofuati kaingia ndani,.. Ila kuangalia vizuri alikuwa ni mke wake,.. Mwai alifurahi sana kuona taulo la mume wake linavimba vimba kiaina,.. Kana kwamba tayari keshamtamani mkewe... Mwai hakutaka kumhamisha kitanda kingine, bali alimfuata pale pale, na kulala nae,... Mwai alivaa kanga Lakini aliifunua makusudi ili sheby aone chupi, mana ndio kivutio cha ngono katika dawa hio,.. Sheby alishangaa karukiwa mdomoni, mana mwai kaona kama vile mumewe anachelewa,.. Sheby kakubali kufanya mapenzi na mkewe,.. Lakini kabla hajaanza sheby ni mzee wa kuandaa mwanamke, alimfanyia mkewe maandalizi ya hali ya juu, huezi amini mpaka mwanaheri anatetemeka mwili mzima,... Sheby kanyonya kila kona ya mkewe, chupi ya mwai ililoa na kua chafu kutokana na ile dawa alioiweka,.. Mwai kalegea lege hata mlenda una nafuu.. Sasa mwai aliona mumewe anachelewa kumuingilia kimapenzi,.. Sasa mbaya zaidi mwai kasahau sharti la sheby avue chupi mwenyewe, kwa utamu wa mapenzi ya mumewe alisahau akajikuta anataka kuibua mwenyewe, kwasababu ilikuwa ikimuwasha washa katika sehemu fulani... Inaendelea
 
MKE JEURI

(The Wife's Tyrant)

Sehemu Ya 24

Mtunzi..... MoonBoy

Simu No. +255714419487 WhatsApp

Simulizi hii inakujia kwa udhamini mkubwa wa #km_music

#KM _MUSIC INAWAKARIBISHA WASANII WOTE KUFANYA KAZI NAO NA WANAFANYA AINA ZOTE ZA MUZIKI.PIA KAMA UKO MKOANI NA UNAHITAJI BEAT KALI WASILIANA NAO KWA SIMU NA +255743761268

#kmmusic_____m
Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←

"hapana mume wangu leo tulale wote"
Aliongea hivyo mwai huku akimshika mkono,.. Sheby hakutaka kwenda, ila mwai alijua sababu,.. Alimwacha kisha akaenda kwenye begi na kutoa chupi nyepesiiiii, tena ilikuwa mpyaaa alikwenda bafuni na kuinyunyiza vile vidawa kisha akaivaa..... Sasa alipofika tu chumbani sheby alihisi kuina mwanamke wa tofuati kaingia ndani,.. Ila kuangalia vizuri alikuwa ni mke wake,.. Mwai alifurahi sana kuona taulo la mume wake linavimba vimba kiaina,.. Kana kwamba tayari keshamtamani mkewe... Mwai hakutaka kumhamisha kitanda kingine, bali alimfuata pale pale, na kulala nae,... Mwai alivaa kanga Lakini aliifunua makusudi ili sheby aone chupi, mana ndio kivutio cha ngono katika dawa hio,.. Sheby alishangaa karukiwa mdomoni, mana mwai kaona kama vile mumewe anachelewa,.. Sheby kakubali kufanya mapenzi na mkewe,.. Lakini kabla hajaanza sheby ni mzee wa kuandaa mwanamke, alimfanyia mkewe maandalizi ya hali ya juu, huezi amini mpaka mwanaheri anatetemeka mwili mzima,... Sheby kanyonya kila kona ya mkewe, chupi ya mwai ililoa na kua chafu kutokana na ile dawa alioiweka,.. Mwai kalegea lege hata mlenda una nafuu.. Sasa mwai aliona mumewe anachelewa kumuingilia kimapenzi,.. Sasa mbaya zaidi mwai kasahau sharti la sheby avue chupi mwenyewe, kwa utamu wa mapenzi ya mumewe alisahau akajikuta anataka kuibua mwenyewe, kwasababu ilikuwa ikimuwasha washa katika sehemu fulani...

ENDELEA.........

Kiukweli mapenzi ni kitu cha ajabu sana, unaweza kutaamka neno bila kukusudia, yaani hata ukiambiwa muuwe ndugu yako kwasababu ya mapenzi, unajikuta unatekeleza jambo hilo bila kutarajia, yote ni kwasababu ya mapenzi,.. Hakika hakuna kitu kitamu zaidi ya mapenzi haswa haswa upate yule anaekupenda na kukutimizia kila utakacho,.. Mwanaheri na Sharbiny ni wanandoa waliotokea kuchukiana sana, kwasababu walifungishwa ndoa ya lazima, yaani hawakupendana, kila mmoja hakuwa akimpenda mwenzi wake, ila kwa lazima ya wazazi waliweza kuishi pamoja bila kufanya tendo la ndoa, yaani kila mmoja akimwona mwenzie anamwona kama takataka fulani hivi pale dampo,.. Na pia wawili hawakutegemea kama ipo siku watakuja kufanya mapenzi, japo wanatofautiana kiumri lakini kwenye mapenzi hakunaga mambo ya umri, kijana sheby ni mtoto mdogo sana kwa mwanaheri, lakini kitendo alichomfanyia kwa siku hii ya leo, hata mwanaheri mwenyewe kajiona kama yupo na mtu mzima mwenzie japo hawakupishana sana kiumri ni kama miaka 6 au 7 hivi ambayo kijana sheby kapitwa na mwai, hivyo mwai ana miaka kama 28 au 29 kitu kama hicho, na sheby yeye ana 22 hivyo ni namba tu za umri lakini kiuwezo, tunamuachia mungu....

Sasa wakati huo mwai alikuwa hoi bin taabani, na katika upande wa masharti bado sharti moja ambalo lilitakiwa sheby avue chupi mwenyewe lakini sasa kutokana na kuzidiwa kwa mwai alijikuta anataka kuivua mwenyewe, wakati huo alikuwa kaishika kiunoni, lakini ghafla simu ya mwai ikaita, akajikuta anasita kuvua na kuipokea simu yake
"nipo bize kidogo nicheki baadae"
Leo mwanaheri hataki kuongea na rafiki zake kisa ni mapenzi yamemnogea... Alikata simu na kuendelea kumshika mume wake,.. Na hapo ndipo alipokumbuka sharti la kuvuliwa chupi
"baby, nivue chupi"
Aliongea mwanaheri huku denda likiendelea kuchukiwa nafasi yake,.. Kwakuwa sheby alikuwa kapumbazwa na asijue lolote lile, alijikuta anamvua mkewe chupi na kuiweka pembeni,.. Mwanaheri alisema kuwa sheby hatokaa kuuona uchi wake, yaani pale wakati wa kufanya mapenzi, mwai azime taa ndio sheby avue chupi, lakini wazo hilo halikuwepo tena,... Na huezi amini mwai kajianika mbele yake, tena bila aibu... Hapo ndio ujue kuwa mapenzi yana nguvu kuliko chochote kile,.. Wakati huo wawili hao walikuwa kama walivyozaliwa yaani hakuwa aliokuwa na nguo hata mmoja, mwai alikuwa akiiangalia Zakariya ya sheby jinsi ilivyokuwa na hasira, sheby alikuwa akipagawa kila anapoangalia mapaja ya mwai,.. Mwai bila kuchelewa alijitupa juu ya sheby huku akijitengenezea mwenyewe,... Kijana sheby akaona kama vile mkewe anacheza tu, sheby alimgeuza mwanaheri na kumweka chini,... Kisha akaishika babu yake na kuiweka mahari husika, Mwai alijikunja kiuno chake pale zakaria ya sheby ilipopiga hodi katika nyumba ya mwai
"aaaaaaaaaiiiiiiiiii"
Ni sauti ya mwai iliokuwa ikisikika baada ya shughuli kuanza,.. kama tunavyomjua kijana sheby mambo yake mazito mno katika sekta hio,..

Baada ya usiku huo kupita Mambo yalienda vizuri kwa usiku mzima,... Sasa sheby alipoamka asubuhi anamkuta mwanaheri kamkumbatia, sheby alikurupuka, kabla hajauliza alishangaa kujikuta yupo uchi wa mnyama tena alikuwa akijihisi kuchoka mno...
Wakati huo mwai kanyamaza tu, mana anajua alichokifanya mpaka sheby kukubali kufanya mapenzi nae,.
"we mbwa umenifanyia nini hivi"
Aliongea sheby huku akiokota taulo lake na kujifunga vizuri... Lakini huezi amini mwai alikuwa kimya na wakati siku zote hua wanatupiana maneno makali, sheby akiwa juu na mwai anakuja juu, sasa wanajikuta wote wakali, lakini leo mwai kimyaa hana hata neno la kuongea...
"nakuuliza we bibi kizee... Umeshanifanyia uhanithi wako mpaka nimelala na wewe... Sijapata kuina bibi kizee malaya ivo"
Yaani kwa jinsi sheby hampendi huyo mwanamke mpaka anadiliki kumwita bibi kizee kisa kapitwa miaka 6 tu ndio anamwita mwenzie bibi kizee, lakini pamoja na maneno yote hayo bado mwanaheri haongei kitu kakaa kitandani katulia kimyaaa, sheby aliongea sana kisha akaingia zake bafuni mana chumba chao ni hicho hicho sema kina vitanda viwili kwasababu ya kukwepana kimapenzi,

Tukija huku uswahilini tunamuona zaituni akiwa ndio anavua viatu kana kwamba kuna mahari alikuwa akitoka kwa wakati huo,.. Na hata shadi pia alikuwa akivua nguo zake, lakini shadi yeye alikuwa hana pesa ila zaituni aliingia na pesa na kuzirusha kitandani... Lakini shadi hakuwa na pesa kana kwamba leo hajapata mwanaume,... Shadi alipomaliza kuvua nguo zake alikuja kwa zaituni
"zai shost... Si unajua mwenzio leo nimetoka kapa"
"tatizo wewe nawe unajitenga sana, wewe ndio umenifundisha kazi hii lakini mmhh umezidi kujitenga"
"mi nimeanza muda sana hivyo bado aibu haijaisha zai"
Aliingea shadi huku wakiwa wamekaa kitandani...
"ok usijali... Chukuwa hii elfu 50 itakuseidia leo na kesho"
Zai kampatia shadi elfu 50 ya matumizi kwasababu yeye leo hajapata katika mawindo yao
"mmmhh Ahsante sana shost"
"afu,.. hhhhhhmmmmm, yule jamaa kanipangishia nyumba, na leo ananinunulia simu ya tachi"
Aliongea zaituni kitendo kilichomwacha shadi mdomo wazi,
"we zai wewe, kuanza juzi tu"
"heeeee, mimi nimemdanganya ni bikra, na ni kweli nilifanya mapenzi mara moja tu tena kwa kubakwa, hivyo juzi alivyoanza alinitoa vidamu kidogo vilivyodhihirisha kweli nina bikra"
Zaituni alikua akiongea kile alichofanyiwa na mwanaume huyo
"sasa na sheby nae"
"huyu muuza viazi????"
"sasa kwani yupi tena"
"huyu nitamuacha taratibu bibie wala sina presha"
"wewe zai weweeeee, kuwa na huruma wewe, si kakupeleka india mkaka wa watu"
"sasa inahuuu... Si Kiherehere here chake, kwani kama ningekutana na huyu asingenipeleka"
"nani angekupenda na wakati ulikuwa kipofu wewe"
"lakini shdi, wewe si ndio umenifunsha hii kazi wewe, mbona kama tena unaniruka"
"amna naona mwenzangu imekuwa too much kwa kazi hio mimi hata siendekezi hivyo"
"afu sasa skia.. Kesho nampeleka kwa wazazi kumtambulisha"
"we zaituni wewe,.. Kwani wazazi wako hawamjui huyu"
"wanamjua sana tu, ila najua wazazi wangu wanapenda pesa"
"mmmmhhhh haya mwaya kazi kwako"
Aliongea shadi huku akiamka na kuondoka zake, lakini zai alijikuta kweli anafikiria kijana sheby ndie mwanaume peke yake aliompenda kipindi akiwa kipofu,... Zai alifungua mkoba wake na kumwaga hela alizohongwa na wanaume wa usiku huo, japo mmoja wao ndio kanogewa na kuingiza mzigo ndani..
"laki mbili hizo.. Nikienda na leo tena nikipata kama hizi.. Nitaishiwa na nini? duka la nguo nililotamani kufungua sasa naliona mbele yangu"
Aliongea zaituni akiwa peke yake, aliingiza pesa hizo katika kibegi chake na kufunga vizuri...

Tukija huku kwa kijana sheby akiwa ofisini, alikuwa anawaza sana ilikuwaje mpaka akafanya mapenzi na mke wake, na wakati alishakula kiapo hatokaa kumgusa mana hampendi na hata mke wake pia hampendi mumewe,... Sheby alikumbuka ujeuri wa mkewe wiki za mwanzoni..

WIKI ZA MWANZONI MWA NDOA YAO

"lakini mke wangu, hio pesa ni nyingi sana"
Aliongea sheby baada ya kudaiwa pesa ya mtaji wa lipustiki,..
"kwaio we wataka nikae nyumbani tu nimekuwa paka mimi"
Alijibu mwai huku akinyoosha mkono ili apewe pesa kiasi cha milioni 10 za mtaji wa lipustiki tu basi
"mke wangu?... Milioni kumi duka la vipodozi tu... Au na duka la nguo hapo hapo"
"weeeeeeeeeee duka la nguo linaghalimu milioni 50, jumla nipe milioni 60"
Sheby kwa hali hio hakutaka kutoa pesa, mana ni pesa nyingi sana
"siwezi kutoa hio pesa.. Ni kubwa sana"
"ati nini... Wewe hebu njoo hapa, unasema hutaki kufanya nini"
"we mwanamke, kuwa na adabu na mimi sawa.. Mimi sio mumeo kaa mbali na mimi"

Siku hio walikwaruzana sana, lakini sheby akiwa ofisini kwake baba yake aliingia
"we pumbavu umemfanya nini mkeo"
Aliongea baba yake huku akiwa mkali sana
"mzee kwanini usiulize vizuri"
"nimepigiwa simu na baba yake sasa hivi anasema umemwambia wewe sio mkewe kisa kakuomba pesa hujampa"
"ni kweli... Mzee yule mwanamke anataka milioni 60 za biashara"
"kwani huna??... Nakuuliza hio pesa wewe huna??"
"khaaaa mzee... Ina maana hata wewe upo radhi nitoe milioni 60 kwa yule mwanamke? Hapana mzee siwezi kutoa"
Huezi amini baba yake sheby alitoa kadi ya benki na kumpa mtoto wake
"shika hii kadi, nenda katoe milioni 60 umpelekee"
Sheby alishangaa kuona baba yake anadiriki kutoa hio pesa kisa ni yule mwanamke,.. Kitendo hicho kilimfanya sheby kuwa mpole hata mbele ya yule mwanamke, mana ni kitu ambacho hakipo kabisa,...
"basi mzee nitaitoa hio pesa"
"tena nenda sasa hivi.. Alafu hutakiwi kumkwaza hata kidogo"
Aliongea baba yake, huku kijana sheby akitoka kwa upole wa hali ya juu mno,.. Sheby alipanda gari yake na kwenda kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yake mwenyewe na sio ya baba yake kama alivyotaka,.. Alitoa milioni 60 kisha akanyooka moja kwa moja mpaka nyumbani,..
"haya shika hio pesa"
"waaaaoooo, asante"
Sheby hakutaka kuingea wala kujibu chochote kile, alipanda gari na kurudi zake kazini,.. Baada ya wiki moja mwai kafungua duka la nguo pamoja na lipustiki,

Sheby akiwa keshafika ofisini kwake na kutulia baada ya kupeleka pesa kwa mke wake,... Ghafla mzee wake kafika
"vipi umeshampatia?"
"ndio mzee, tayari nimeshampa"
"yes, huo ndio upendo wa mke na mume, sio kukwaruzana kwa kitu kidoogo, milioni 60 ni kitu gani kwetu"
Sheby alinyamaza tu na kumwacha baba yake aongee tu
"tafadhali sana, usimkorofishe tena, mpe kile anachokita yani chochote kile mpe"
"sawa mzee"
Sheby alikuwa akijibu tu sawa lakini haikuwa ikiingia akilini mwake
"kwahio hata akinikosea kama mume nimuache tu"
"ndio.. Afu kwanza mwanamke hapigwagi"
"ok sawa mzee"
Kijana sheby alikuwa na hasira sana mpaka hakuwa na pointi ya kuingea zaidi ya kukubali tu...

KUMBUKUMBU YA WIKI MBILI ZILIZOPITA BAADA YA KUOANA INAISHIA HAPO

Sasa akiwa bado yupo ofisini ghafla saidi kaingia na furaha kubwa sana huku akiwa anacheeka sana
"Hakiyamungu vile boss mi naoa... Yaani mtoto kakubali nimuoe eti"
"sawa we oa tu, mana ndoa za siku hizi basi tu"
"acha kunitisha wewe... Au unahisi naoa oa tu hovyo,.. Ngoja nikuonyeshe mtoto zaituni"
Sheby alishtuka kuskia hilo jina japo zaituni ni wengi lakini mhhhh,...
"hebu huyo zaituni... "
"ngojaaa... Mtoto nilikuwa nae kitandani huyu hapa"

Je? Nini kitatokea kama ni zaituni wa sheby???.... Na je itakuwaje kwa mwai mana kwa sasa kawa mpole kama maji ya mtungi.... USI
 
MKE JEURI

(The Wife's Tyrant)

Sehemu Ya 24

Mtunzi..... MoonBoy

Simu No. +255714419487 WhatsApp

Simulizi hii inakujia kwa udhamini mkubwa wa #km_music

#KM _MUSIC INAWAKARIBISHA WASANII WOTE KUFANYA KAZI NAO NA WANAFANYA AINA ZOTE ZA MUZIKI.PIA KAMA UKO MKOANI NA UNAHITAJI BEAT KALI WASILIANA NAO KWA SIMU NA +255743761268

#kmmusic_____m
Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←

"hapana mume wangu leo tulale wote"
Aliongea hivyo mwai huku akimshika mkono,.. Sheby hakutaka kwenda, ila mwai alijua sababu,.. Alimwacha kisha akaenda kwenye begi na kutoa chupi nyepesiiiii, tena ilikuwa mpyaaa alikwenda bafuni na kuinyunyiza vile vidawa kisha akaivaa..... Sasa alipofika tu chumbani sheby alihisi kuina mwanamke wa tofuati kaingia ndani,.. Ila kuangalia vizuri alikuwa ni mke wake,.. Mwai alifurahi sana kuona taulo la mume wake linavimba vimba kiaina,.. Kana kwamba tayari keshamtamani mkewe... Mwai hakutaka kumhamisha kitanda kingine, bali alimfuata pale pale, na kulala nae,... Mwai alivaa kanga Lakini aliifunua makusudi ili sheby aone chupi, mana ndio kivutio cha ngono katika dawa hio,.. Sheby alishangaa karukiwa mdomoni, mana mwai kaona kama vile mumewe anachelewa,.. Sheby kakubali kufanya mapenzi na mkewe,.. Lakini kabla hajaanza sheby ni mzee wa kuandaa mwanamke, alimfanyia mkewe maandalizi ya hali ya juu, huezi amini mpaka mwanaheri anatetemeka mwili mzima,... Sheby kanyonya kila kona ya mkewe, chupi ya mwai ililoa na kua chafu kutokana na ile dawa alioiweka,.. Mwai kalegea lege hata mlenda una nafuu.. Sasa mwai aliona mumewe anachelewa kumuingilia kimapenzi,.. Sasa mbaya zaidi mwai kasahau sharti la sheby avue chupi mwenyewe, kwa utamu wa mapenzi ya mumewe alisahau akajikuta anataka kuibua mwenyewe, kwasababu ilikuwa ikimuwasha washa katika sehemu fulani...

ENDELEA.........

Kiukweli mapenzi ni kitu cha ajabu sana, unaweza kutaamka neno bila kukusudia, yaani hata ukiambiwa muuwe ndugu yako kwasababu ya mapenzi, unajikuta unatekeleza jambo hilo bila kutarajia, yote ni kwasababu ya mapenzi,.. Hakika hakuna kitu kitamu zaidi ya mapenzi haswa haswa upate yule anaekupenda na kukutimizia kila utakacho,.. Mwanaheri na Sharbiny ni wanandoa waliotokea kuchukiana sana, kwasababu walifungishwa ndoa ya lazima, yaani hawakupendana, kila mmoja hakuwa akimpenda mwenzi wake, ila kwa lazima ya wazazi waliweza kuishi pamoja bila kufanya tendo la ndoa, yaani kila mmoja akimwona mwenzie anamwona kama takataka fulani hivi pale dampo,.. Na pia wawili hawakutegemea kama ipo siku watakuja kufanya mapenzi, japo wanatofautiana kiumri lakini kwenye mapenzi hakunaga mambo ya umri, kijana sheby ni mtoto mdogo sana kwa mwanaheri, lakini kitendo alichomfanyia kwa siku hii ya leo, hata mwanaheri mwenyewe kajiona kama yupo na mtu mzima mwenzie japo hawakupishana sana kiumri ni kama miaka 6 au 7 hivi ambayo kijana sheby kapitwa na mwai, hivyo mwai ana miaka kama 28 au 29 kitu kama hicho, na sheby yeye ana 22 hivyo ni namba tu za umri lakini kiuwezo, tunamuachia mungu....

Sasa wakati huo mwai alikuwa hoi bin taabani, na katika upande wa masharti bado sharti moja ambalo lilitakiwa sheby avue chupi mwenyewe lakini sasa kutokana na kuzidiwa kwa mwai alijikuta anataka kuivua mwenyewe, wakati huo alikuwa kaishika kiunoni, lakini ghafla simu ya mwai ikaita, akajikuta anasita kuvua na kuipokea simu yake
"nipo bize kidogo nicheki baadae"
Leo mwanaheri hataki kuongea na rafiki zake kisa ni mapenzi yamemnogea... Alikata simu na kuendelea kumshika mume wake,.. Na hapo ndipo alipokumbuka sharti la kuvuliwa chupi
"baby, nivue chupi"
Aliongea mwanaheri huku denda likiendelea kuchukiwa nafasi yake,.. Kwakuwa sheby alikuwa kapumbazwa na asijue lolote lile, alijikuta anamvua mkewe chupi na kuiweka pembeni,.. Mwanaheri alisema kuwa sheby hatokaa kuuona uchi wake, yaani pale wakati wa kufanya mapenzi, mwai azime taa ndio sheby avue chupi, lakini wazo hilo halikuwepo tena,... Na huezi amini mwai kajianika mbele yake, tena bila aibu... Hapo ndio ujue kuwa mapenzi yana nguvu kuliko chochote kile,.. Wakati huo wawili hao walikuwa kama walivyozaliwa yaani hakuwa aliokuwa na nguo hata mmoja, mwai alikuwa akiiangalia Zakariya ya sheby jinsi ilivyokuwa na hasira, sheby alikuwa akipagawa kila anapoangalia mapaja ya mwai,.. Mwai bila kuchelewa alijitupa juu ya sheby huku akijitengenezea mwenyewe,... Kijana sheby akaona kama vile mkewe anacheza tu, sheby alimgeuza mwanaheri na kumweka chini,... Kisha akaishika babu yake na kuiweka mahari husika, Mwai alijikunja kiuno chake pale zakaria ya sheby ilipopiga hodi katika nyumba ya mwai
"aaaaaaaaaiiiiiiiiii"
Ni sauti ya mwai iliokuwa ikisikika baada ya shughuli kuanza,.. kama tunavyomjua kijana sheby mambo yake mazito mno katika sekta hio,..

Baada ya usiku huo kupita Mambo yalienda vizuri kwa usiku mzima,... Sasa sheby alipoamka asubuhi anamkuta mwanaheri kamkumbatia, sheby alikurupuka, kabla hajauliza alishangaa kujikuta yupo uchi wa mnyama tena alikuwa akijihisi kuchoka mno...
Wakati huo mwai kanyamaza tu, mana anajua alichokifanya mpaka sheby kukubali kufanya mapenzi nae,.
"we mbwa umenifanyia nini hivi"
Aliongea sheby huku akiokota taulo lake na kujifunga vizuri... Lakini huezi amini mwai alikuwa kimya na wakati siku zote hua wanatupiana maneno makali, sheby akiwa juu na mwai anakuja juu, sasa wanajikuta wote wakali, lakini leo mwai kimyaa hana hata neno la kuongea...
"nakuuliza we bibi kizee... Umeshanifanyia uhanithi wako mpaka nimelala na wewe... Sijapata kuina bibi kizee malaya ivo"
Yaani kwa jinsi sheby hampendi huyo mwanamke mpaka anadiliki kumwita bibi kizee kisa kapitwa miaka 6 tu ndio anamwita mwenzie bibi kizee, lakini pamoja na maneno yote hayo bado mwanaheri haongei kitu kakaa kitandani katulia kimyaaa, sheby aliongea sana kisha akaingia zake bafuni mana chumba chao ni hicho hicho sema kina vitanda viwili kwasababu ya kukwepana kimapenzi,

Tukija huku uswahilini tunamuona zaituni akiwa ndio anavua viatu kana kwamba kuna mahari alikuwa akitoka kwa wakati huo,.. Na hata shadi pia alikuwa akivua nguo zake, lakini shadi yeye alikuwa hana pesa ila zaituni aliingia na pesa na kuzirusha kitandani... Lakini shadi hakuwa na pesa kana kwamba leo hajapata mwanaume,... Shadi alipomaliza kuvua nguo zake alikuja kwa zaituni
"zai shost... Si unajua mwenzio leo nimetoka kapa"
"tatizo wewe nawe unajitenga sana, wewe ndio umenifundisha kazi hii lakini mmhh umezidi kujitenga"
"mi nimeanza muda sana hivyo bado aibu haijaisha zai"
Aliingea shadi huku wakiwa wamekaa kitandani...
"ok usijali... Chukuwa hii elfu 50 itakuseidia leo na kesho"
Zai kampatia shadi elfu 50 ya matumizi kwasababu yeye leo hajapata katika mawindo yao
"mmmhh Ahsante sana shost"
"afu,.. hhhhhhmmmmm, yule jamaa kanipangishia nyumba, na leo ananinunulia simu ya tachi"
Aliongea zaituni kitendo kilichomwacha shadi mdomo wazi,
"we zai wewe, kuanza juzi tu"
"heeeee, mimi nimemdanganya ni bikra, na ni kweli nilifanya mapenzi mara moja tu tena kwa kubakwa, hivyo juzi alivyoanza alinitoa vidamu kidogo vilivyodhihirisha kweli nina bikra"
Zaituni alikua akiongea kile alichofanyiwa na mwanaume huyo
"sasa na sheby nae"
"huyu muuza viazi????"
"sasa kwani yupi tena"
"huyu nitamuacha taratibu bibie wala sina presha"
"wewe zai weweeeee, kuwa na huruma wewe, si kakupeleka india mkaka wa watu"
"sasa inahuuu... Si Kiherehere here chake, kwani kama ningekutana na huyu asingenipeleka"
"nani angekupenda na wakati ulikuwa kipofu wewe"
"lakini shdi, wewe si ndio umenifunsha hii kazi wewe, mbona kama tena unaniruka"
"amna naona mwenzangu imekuwa too much kwa kazi hio mimi hata siendekezi hivyo"
"afu sasa skia.. Kesho nampeleka kwa wazazi kumtambulisha"
"we zaituni wewe,.. Kwani wazazi wako hawamjui huyu"
"wanamjua sana tu, ila najua wazazi wangu wanapenda pesa"
"mmmmhhhh haya mwaya kazi kwako"
Aliongea shadi huku akiamka na kuondoka zake, lakini zai alijikuta kweli anafikiria kijana sheby ndie mwanaume peke yake aliompenda kipindi akiwa kipofu,... Zai alifungua mkoba wake na kumwaga hela alizohongwa na wanaume wa usiku huo, japo mmoja wao ndio kanogewa na kuingiza mzigo ndani..
"laki mbili hizo.. Nikienda na leo tena nikipata kama hizi.. Nitaishiwa na nini? duka la nguo nililotamani kufungua sasa naliona mbele yangu"
Aliongea zaituni akiwa peke yake, aliingiza pesa hizo katika kibegi chake na kufunga vizuri...

Tukija huku kwa kijana sheby akiwa ofisini, alikuwa anawaza sana ilikuwaje mpaka akafanya mapenzi na mke wake, na wakati alishakula kiapo hatokaa kumgusa mana hampendi na hata mke wake pia hampendi mumewe,... Sheby alikumbuka ujeuri wa mkewe wiki za mwanzoni..

WIKI ZA MWANZONI MWA NDOA YAO

"lakini mke wangu, hio pesa ni nyingi sana"
Aliongea sheby baada ya kudaiwa pesa ya mtaji wa lipustiki,..
"kwaio we wataka nikae nyumbani tu nimekuwa paka mimi"
Alijibu mwai huku akinyoosha mkono ili apewe pesa kiasi cha milioni 10 za mtaji wa lipustiki tu basi
"mke wangu?... Milioni kumi duka la vipodozi tu... Au na duka la nguo hapo hapo"
"weeeeeeeeeee duka la nguo linaghalimu milioni 50, jumla nipe milioni 60"
Sheby kwa hali hio hakutaka kutoa pesa, mana ni pesa nyingi sana
"siwezi kutoa hio pesa.. Ni kubwa sana"
"ati nini... Wewe hebu njoo hapa, unasema hutaki kufanya nini"
"we mwanamke, kuwa na adabu na mimi sawa.. Mimi sio mumeo kaa mbali na mimi"

Siku hio walikwaruzana sana, lakini sheby akiwa ofisini kwake baba yake aliingia
"we pumbavu umemfanya nini mkeo"
Aliongea baba yake huku akiwa mkali sana
"mzee kwanini usiulize vizuri"
"nimepigiwa simu na baba yake sasa hivi anasema umemwambia wewe sio mkewe kisa kakuomba pesa hujampa"
"ni kweli... Mzee yule mwanamke anataka milioni 60 za biashara"
"kwani huna??... Nakuuliza hio pesa wewe huna??"
"khaaaa mzee... Ina maana hata wewe upo radhi nitoe milioni 60 kwa yule mwanamke? Hapana mzee siwezi kutoa"
Huezi amini baba yake sheby alitoa kadi ya benki na kumpa mtoto wake
"shika hii kadi, nenda katoe milioni 60 umpelekee"
Sheby alishangaa kuona baba yake anadiriki kutoa hio pesa kisa ni yule mwanamke,.. Kitendo hicho kilimfanya sheby kuwa mpole hata mbele ya yule mwanamke, mana ni kitu ambacho hakipo kabisa,...
"basi mzee nitaitoa hio pesa"
"tena nenda sasa hivi.. Alafu hutakiwi kumkwaza hata kidogo"
Aliongea baba yake, huku kijana sheby akitoka kwa upole wa hali ya juu mno,.. Sheby alipanda gari yake na kwenda kutoa pesa kutoka kwenye akaunti yake mwenyewe na sio ya baba yake kama alivyotaka,.. Alitoa milioni 60 kisha akanyooka moja kwa moja mpaka nyumbani,..
"haya shika hio pesa"
"waaaaoooo, asante"
Sheby hakutaka kuingea wala kujibu chochote kile, alipanda gari na kurudi zake kazini,.. Baada ya wiki moja mwai kafungua duka la nguo pamoja na lipustiki,

Sheby akiwa keshafika ofisini kwake na kutulia baada ya kupeleka pesa kwa mke wake,... Ghafla mzee wake kafika
"vipi umeshampatia?"
"ndio mzee, tayari nimeshampa"
"yes, huo ndio upendo wa mke na mume, sio kukwaruzana kwa kitu kidoogo, milioni 60 ni kitu gani kwetu"
Sheby alinyamaza tu na kumwacha baba yake aongee tu
"tafadhali sana, usimkorofishe tena, mpe kile anachokita yani chochote kile mpe"
"sawa mzee"
Sheby alikuwa akijibu tu sawa lakini haikuwa ikiingia akilini mwake
"kwahio hata akinikosea kama mume nimuache tu"
"ndio.. Afu kwanza mwanamke hapigwagi"
"ok sawa mzee"
Kijana sheby alikuwa na hasira sana mpaka hakuwa na pointi ya kuingea zaidi ya kukubali tu...

KUMBUKUMBU YA WIKI MBILI ZILIZOPITA BAADA YA KUOANA INAISHIA HAPO

Sasa akiwa bado yupo ofisini ghafla saidi kaingia na furaha kubwa sana huku akiwa anacheeka sana
"Hakiyamungu vile boss mi naoa... Yaani mtoto kakubali nimuoe eti"
"sawa we oa tu, mana ndoa za siku hizi basi tu"
"acha kunitisha wewe... Au unahisi naoa oa tu hovyo,.. Ngoja nikuonyeshe mtoto zaituni"
Sheby alishtuka kuskia hilo jina japo zaituni ni wengi lakini mhhhh,...
"hebu huyo zaituni... "
"ngojaaa... Mtoto nilikuwa nae kitandani huyu hapa"

Je? Nini kitatokea kama ni zaituni wa sheby???.... Na je itakuwaje kwa mwai mana kwa sasa kawa mpole kama maji ya mtungi.... USI
Uwiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom