Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
MKE JEURI
(The Wife's Tyrant)
S
Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←
Tukija huki Uswahilini katika nyumba za udongo
"haya sasa kula kiazi cha leo leo hicho"
Sheby anahangaika sana, na nia yake anataka kuoa jiko la pili yaani mke wa pili ndio mana anahangaika kutafuta mke bora kupitia hali ngumu ya maisha,...
Sheby alifika katika boma alilopangisha, lakini hakukuta mtu, na wakati huo ilikuwa ni mida ya saa nne hivi
"kula kiazi mbatata apo weweee"
Alikuwa akifanya biashara kwa matangazo ya mdomo wake, mana biashara ni matangazo,..
"aahhhhh hawa watu wamekwenda wapi tena"
Sheby alijiuliza baada ya kukuta milango imefungwa na hakukuwa na mtu,...
"aahh watakuwa wamekwenda kuteka maji tu..... Haaaaaaaaaya kula kiazi mbatata apo weweeeee"
Sheby aligeuza mkokoteni wake ili arudi barabarani kuendelea na biashara yake...
"Haaaaaaaaaaaaaaaya kula kiazi cha ch...."
Ghafla Sheby alisita kutangaza biashara yake, kana kwamba kuna kitu kaona....
"kula kia.... Kiaaaz.... Kiaaaz"
Utangazaji ulimshinda na kujikuta akitangaza kwa muda mrefu kwa maneno kidogo tu...
"kula kiazi u... Ut... Uta... Utamu... Ah ah No... Kula kiazi mbatata"
Sheby alijikuta anakosea kutangaza bidhaa alionayo na kutangaza bidhaa ambayo hana..
Wahenga walisema kuwa hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, na hakuna kizuri kisicho na kasoro. Kijana sheby siku zote ni mtu wa kutafuta mke bora mana nia yake ni kuoa mke wa pili, mana mke alionae kwa sasa sii mke bali ni gume gume, kijana huyo alifika katika chumba alichopangisha huku uswahilini na kukuta chumba kikiwa na kufuli, maana yake hakukuwa na mtu,.. Sheby anaamua kutoka na mzigo wake wa viazi huku akitangaza biashara yake ya uongo na kweli,.. Lakini hamadi alishangaa kumwona zai na shadi wakiwa katika mavazi ya kupendeza sana kitu ambacho sheby alibaki mdomo wazi, haswa haswa vazi alilovaa zaituni lilikuwa vazi la kubana liliomchora umbo lake lote, yaani alipendeza mpaka alikera machoni mwa watu,..
"zai? Ni wewe kweli?"
Aliongea sheby huku akimfuata na kumshika, lakini zai alikuwa na wasiwasi sana huku akiangaliana na shadi, wakati huo shadi kaangalia pembeni huku akibofya simu yake...
"ni mimi au umenisahau mchumba wako"
Alijibu zaituni huku akijiskia aibu ya hali ya juu...
"nimefika pale nyumbani sijakukuta ulitoka saa ngapi"
"mbona nimetoka asubuhi tu"
"aahhhhh basi nisamehe mke wangu mana nilijua umetoka jana"
"heeeeee sasa jana nitakuwa nimelala wapi"
"basi jamani mamy,... Nimeacha viazi pale utapika ule sawa mke wangu"
"sawa baby"
"shadi mambo"
"safi tu hali yako"
"salama"
Lakini sheby alimwangalia shadi kwa jicho kali sana kana kwamba shadi kuna kitu kafanya ila sheby hajakipenda kabisa...
"sasa zai narudi baadae wacha nikauze uze"
"sawa mume wangu"
Sheby aliondoka lakini kichwa kilianza kuwaza mambo mengi sana kuanzia hapo hakuwa na raha...
Huku zai na shadi wakiwa wameshafika nyumbani
"umeona eee... Mi najua haliwezi jua ulipotoka, ona lilivyopagawa kama sio mpenzi wake vile"
Aliongea shadi huku akiwa kakaa kitandani
"nakwambia niliogopa nikajua napigwa vibao pale pale"
"acha uoga zai,... Hebu angali sasa hivi una shilingi ngapi"
"mmmhhh shost.. Nakwambia yule boss unajua ilikuwaje, kwanza kanipa simu ya tachi hii hapa... Afu kanipa elfu 50 ya vocha na elfu 50 ya nauli, yqani hapa nilipo nina laki moja na simu mpyaaa"
"umeona kazi ilivyo tamu eee"
"mmmhhh lakini shadi? kwani ni lazima tuende kila siku?"
"yes, . Ukiona dume hili linazingua unaliacha"
"mmmhhhh sasa si ndio umalaya wenyewe huo au"
"sasa waogopa nini zai... Ona sasa una simu na pesa taslimu, je ungelala ungezitoa wapi"
"ni kweli shost lakini mmmhhh"
Zaituni tayari keshajiunga na CCMT (chama cha malaya Tanzania)..
Tukija huku nyumbani kwa sheby tunamwona mke wa sheby akitoka kuelekea hospitali,... Alichukua gari yake kisha huyoo kaondoka zake, yaani haamini kama kweli ana mimba
Mwai anafika hospitalini akiwa na haraka ya hali ya juu mno,..
"dokta, dokta"
"habari yako mama"
"salama tu... Nataka kupima dokta"
"unapima nini sasa"
"nataka kujua kama nina mimba, mana sijielewi elewi"
"ok, punguza presha kwanza"
Basi mwai alikaa kidogo kisha damu yake ikapoa kiasi, mwai alifanyiwa vipimo vyote
"ni kweli, una mimba ya wiki moja"
"mungu wangu weeeee, nitafanyeje mimi"
Mwai alitoka hapo na kushindwa kuamini kweli ana mimba... Aliingia kwenye gari kisha akachukuwa simu yake... Alimpigia mpenzi wake ambae ni jemsi, mana kama unakumbuka ndoa ya yeye na sheby walilazimishwa ila sio hiari yao, hivyo kila mmoja ana mpenzi wake,..
"haloo jemsi mambo"
"poa niambie baby"
"safi tu, nataka Nikwambie jambo zuuuri"
"jambo gani tena"
"we kubali basi jamani"
"haya niambie"
"wiki mbili zilizopita tulifanya mapenzi bila hata kutumia kinga... So, leo nataka kukwambia kuwa nina mimba yako"
Aliongea mwai huku akiwa na furaha,
"lakini mwai mpenzi wangu... Hali yangu si unaijua lakini.. Mimi sina uwezo wa kuilea hio mimba na pia siwezi kuikubali mana ulishawahi kuniambia umeolewa wewe"
"James, nilishakwambia huyu mwanaume ni bwege tu hajawahi kunigusa yaani hata mwili wangu haujui ulivyo... Hii mimba ni yako kweli"
"hapana bwana... Mimi siwezi kukubali"
"lakini kama hofu yako ni kuilea, basi mimi naweza na sintokuagiza chochote kile, nitailea nwenyewe lakini we kubali tu mimba ni yako"
"mmmhhh nitaamini vipi"
"akizaliwa tutampima"
"ok sawa"
Mwai alifurahi kuskia james kakubali kua hio mimba ni yake....
Sasa tukija huku kwa mama yake zaituni akiwa kakaa na mtoto wake zainabu ambaye ni pacha wa zaituni pamoja na jamila ambae ni dada yao mkubwa,
"mama ivi jana yalikuwa macho yangu au nilikuwa naota"
"kwani uliona nini na wewe"
Mama aliuliza kwa mshangao,
"nilimwona zaituni saa nane za usiku"
"mschiuuuu... Nitolee ndoto zako za usiku mimi"
"kweli mama nilimwona mwanao tena alipendeza huyo"
"we zainabu, sasa huyo ndugu yako kama unavyomjua haoni, haya huko mjini saa hio anatafuta nini"
Aliuliza dada yao ambae ni jamila,
"heeeeeeeee ivi hujui kama sasa hivi anaona"
"anaona???.... Kafanya nini mpaka kaona"
"heeeeeeeee inaenda mwezi wa tatu huuu"
Jamila yeye kaolewa hivyo mambo yanayofanyika huku yeye hayajui, hata alipokuja alishangaa sana kuona nyumba yao imezidi kuwa nzuri zaidi, na mbaya zaidi anaambiwa kuwa mdogo wake sio kipofu tena...
"jamani nani katoa msaada mkubwa hivyo"
"ni mpenzi wake huyo... Kamchukuwa na kwenda kumfanyia kazi"
"inaonekana kapata mpenzi tajiri eee"
"sanaaaaa, ila huezi amini hata zai mwenyewe hajui kama mpenzi wake ni tajiri"
"kwanini sasa"
"sijui"
Walijikuta wanaongea mambo mengine na kusahau jambo la zai kutembea usiku alianza lini,... Mana huyu Zainabu ni mmoja kati ya CCMT hivyo kumuona pacha wake huko katika mitaa anayotembea...
Tukija huku ofisini kwa kijana sheby ikiwa ni mida ya jioni hivi kila mmoja alikuwa akijiandaa kuondoka zake.. Ghafla mfanyakazi wake mmoja wa kiume kaja ofisini kwa sheby,.. Ni washkaji sana na wamezoeana sana japo ni boss kwa mfanyakazi,..
"aaahhhhh boss naona bado upo na wakati tunaondoka sie"
"aahhhhh mawazo mengi bwana"
"sasa skia mzee.... Jana saa ngapi sijaingia mitaa ya kati nikakutana na toto bichiiiiii"
"wapi uko"
"mjini kati... Mtoto alitupia, mkali nikamwona piga mistari mingiiii kaingia laini... Ndani... Kichapo"
"eeeehh mambo yako ayooo"
"mtoto rangi ya chocolate shepu ya maana"
Saidi alikuwa akiongea kwa kujisifu sana
"sawa bwana kula ujana"
Sasa tukija huku kwa akina rose wakiwa ndio wanafika nyumbani na kumkuta mwai kakaa kwenye gari yake akiwa anawasubiri rafiki zake wakubwa...
"ooohhhh afadhali mumefika,.. Nilikuwa nawasubiria muda tu yani"
"we nawe kwanini usingepiga simu sasa.."
"mmmhhhh rose... Kwani vinapigika simu"
"heeeeeee kwani vipi mwenzetu"
"we acha tu, nina janga hilo sijui nilipeleke wapi"
Aliongea mke wa sheby huku wakiingia ndani, kama kawaida yao wakikutana umbea mwingiiii...
"enheee hebu nipe umbea mana wewe kwa umbea umo kweli"
"yaani huu sio umbea.. Ni ukweli mtupu"
"nini tena mwai... Au Umeachika nini"
"bora hata ningeachika rose"
Mwai alikuwa anawaza atamwambia nini sheby kuwa ana mimba yake na wakati hajawahi kulala nae hata siku moja japo ni mume wake,..
"kwani una nini"
"nina mimba rose"
"heeeeeeee sasa cha ajabu ni kipi hapo"
"nina mimba lakini sio ya mume wangu... Ni mimba ya james"
"Eeeeehhh maakubwa ya jongo hayo"
"nipeni ushauri basi jamani nifanyeje"
"lakini mwai, kwanini mtoto wa watu hujawahi kumpa haki yake ya ndoa"
"ni kweli... Lakini mi simpendi yaani hata kumpa mwili wangu naota kama vile nafanya na mbwa vile"
Ghafla mary kadakia
"we dada mwai, yaani ukifanya mapenzi na huyo unahisi kufanya na mbwa?"
"we mary kwanza we bado mdogo yatakukuta haya"
"sawa lakini sio hivyo dada mwai unamkufuru mungu"
"atajua mwenyewe mi nakaona kama kambwa tu"
Mary hakutaka hata kusikiliza akaingia zake chumbani mana wamepangisha dabo rumu....
"sasa skia mwai mi nataka nikupe ushauri mmoja tu"
"ushauri gani huo"
"tembea nae.. Leo akirudi mpokee vizuri, mpeti peti... Mpe kitumbua chako, baada ya wiki unamwambia mimba ni yake... Hakatai ng'ooooo"
Je? Mwai atakubali kulala na sheby??.. Na je sheby atakubali kulala na mwai??... Je? Mmoja akikataa itakuwaje???...
(The Wife's Tyrant)
S
Ilipoishia Jana →↓↓↓↓←
Tukija huki Uswahilini katika nyumba za udongo
"haya sasa kula kiazi cha leo leo hicho"
Sheby anahangaika sana, na nia yake anataka kuoa jiko la pili yaani mke wa pili ndio mana anahangaika kutafuta mke bora kupitia hali ngumu ya maisha,...
Sheby alifika katika boma alilopangisha, lakini hakukuta mtu, na wakati huo ilikuwa ni mida ya saa nne hivi
"kula kiazi mbatata apo weweee"
Alikuwa akifanya biashara kwa matangazo ya mdomo wake, mana biashara ni matangazo,..
"aahhhhh hawa watu wamekwenda wapi tena"
Sheby alijiuliza baada ya kukuta milango imefungwa na hakukuwa na mtu,...
"aahh watakuwa wamekwenda kuteka maji tu..... Haaaaaaaaaya kula kiazi mbatata apo weweeeee"
Sheby aligeuza mkokoteni wake ili arudi barabarani kuendelea na biashara yake...
"Haaaaaaaaaaaaaaaya kula kiazi cha ch...."
Ghafla Sheby alisita kutangaza biashara yake, kana kwamba kuna kitu kaona....
"kula kia.... Kiaaaz.... Kiaaaz"
Utangazaji ulimshinda na kujikuta akitangaza kwa muda mrefu kwa maneno kidogo tu...
"kula kiazi u... Ut... Uta... Utamu... Ah ah No... Kula kiazi mbatata"
Sheby alijikuta anakosea kutangaza bidhaa alionayo na kutangaza bidhaa ambayo hana..
Wahenga walisema kuwa hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho, na hakuna kizuri kisicho na kasoro. Kijana sheby siku zote ni mtu wa kutafuta mke bora mana nia yake ni kuoa mke wa pili, mana mke alionae kwa sasa sii mke bali ni gume gume, kijana huyo alifika katika chumba alichopangisha huku uswahilini na kukuta chumba kikiwa na kufuli, maana yake hakukuwa na mtu,.. Sheby anaamua kutoka na mzigo wake wa viazi huku akitangaza biashara yake ya uongo na kweli,.. Lakini hamadi alishangaa kumwona zai na shadi wakiwa katika mavazi ya kupendeza sana kitu ambacho sheby alibaki mdomo wazi, haswa haswa vazi alilovaa zaituni lilikuwa vazi la kubana liliomchora umbo lake lote, yaani alipendeza mpaka alikera machoni mwa watu,..
"zai? Ni wewe kweli?"
Aliongea sheby huku akimfuata na kumshika, lakini zai alikuwa na wasiwasi sana huku akiangaliana na shadi, wakati huo shadi kaangalia pembeni huku akibofya simu yake...
"ni mimi au umenisahau mchumba wako"
Alijibu zaituni huku akijiskia aibu ya hali ya juu...
"nimefika pale nyumbani sijakukuta ulitoka saa ngapi"
"mbona nimetoka asubuhi tu"
"aahhhhh basi nisamehe mke wangu mana nilijua umetoka jana"
"heeeeee sasa jana nitakuwa nimelala wapi"
"basi jamani mamy,... Nimeacha viazi pale utapika ule sawa mke wangu"
"sawa baby"
"shadi mambo"
"safi tu hali yako"
"salama"
Lakini sheby alimwangalia shadi kwa jicho kali sana kana kwamba shadi kuna kitu kafanya ila sheby hajakipenda kabisa...
"sasa zai narudi baadae wacha nikauze uze"
"sawa mume wangu"
Sheby aliondoka lakini kichwa kilianza kuwaza mambo mengi sana kuanzia hapo hakuwa na raha...
Huku zai na shadi wakiwa wameshafika nyumbani
"umeona eee... Mi najua haliwezi jua ulipotoka, ona lilivyopagawa kama sio mpenzi wake vile"
Aliongea shadi huku akiwa kakaa kitandani
"nakwambia niliogopa nikajua napigwa vibao pale pale"
"acha uoga zai,... Hebu angali sasa hivi una shilingi ngapi"
"mmmhhh shost.. Nakwambia yule boss unajua ilikuwaje, kwanza kanipa simu ya tachi hii hapa... Afu kanipa elfu 50 ya vocha na elfu 50 ya nauli, yqani hapa nilipo nina laki moja na simu mpyaaa"
"umeona kazi ilivyo tamu eee"
"mmmhhh lakini shadi? kwani ni lazima tuende kila siku?"
"yes, . Ukiona dume hili linazingua unaliacha"
"mmmhhhh sasa si ndio umalaya wenyewe huo au"
"sasa waogopa nini zai... Ona sasa una simu na pesa taslimu, je ungelala ungezitoa wapi"
"ni kweli shost lakini mmmhhh"
Zaituni tayari keshajiunga na CCMT (chama cha malaya Tanzania)..
Tukija huku nyumbani kwa sheby tunamwona mke wa sheby akitoka kuelekea hospitali,... Alichukua gari yake kisha huyoo kaondoka zake, yaani haamini kama kweli ana mimba
Mwai anafika hospitalini akiwa na haraka ya hali ya juu mno,..
"dokta, dokta"
"habari yako mama"
"salama tu... Nataka kupima dokta"
"unapima nini sasa"
"nataka kujua kama nina mimba, mana sijielewi elewi"
"ok, punguza presha kwanza"
Basi mwai alikaa kidogo kisha damu yake ikapoa kiasi, mwai alifanyiwa vipimo vyote
"ni kweli, una mimba ya wiki moja"
"mungu wangu weeeee, nitafanyeje mimi"
Mwai alitoka hapo na kushindwa kuamini kweli ana mimba... Aliingia kwenye gari kisha akachukuwa simu yake... Alimpigia mpenzi wake ambae ni jemsi, mana kama unakumbuka ndoa ya yeye na sheby walilazimishwa ila sio hiari yao, hivyo kila mmoja ana mpenzi wake,..
"haloo jemsi mambo"
"poa niambie baby"
"safi tu, nataka Nikwambie jambo zuuuri"
"jambo gani tena"
"we kubali basi jamani"
"haya niambie"
"wiki mbili zilizopita tulifanya mapenzi bila hata kutumia kinga... So, leo nataka kukwambia kuwa nina mimba yako"
Aliongea mwai huku akiwa na furaha,
"lakini mwai mpenzi wangu... Hali yangu si unaijua lakini.. Mimi sina uwezo wa kuilea hio mimba na pia siwezi kuikubali mana ulishawahi kuniambia umeolewa wewe"
"James, nilishakwambia huyu mwanaume ni bwege tu hajawahi kunigusa yaani hata mwili wangu haujui ulivyo... Hii mimba ni yako kweli"
"hapana bwana... Mimi siwezi kukubali"
"lakini kama hofu yako ni kuilea, basi mimi naweza na sintokuagiza chochote kile, nitailea nwenyewe lakini we kubali tu mimba ni yako"
"mmmhhh nitaamini vipi"
"akizaliwa tutampima"
"ok sawa"
Mwai alifurahi kuskia james kakubali kua hio mimba ni yake....
Sasa tukija huku kwa mama yake zaituni akiwa kakaa na mtoto wake zainabu ambaye ni pacha wa zaituni pamoja na jamila ambae ni dada yao mkubwa,
"mama ivi jana yalikuwa macho yangu au nilikuwa naota"
"kwani uliona nini na wewe"
Mama aliuliza kwa mshangao,
"nilimwona zaituni saa nane za usiku"
"mschiuuuu... Nitolee ndoto zako za usiku mimi"
"kweli mama nilimwona mwanao tena alipendeza huyo"
"we zainabu, sasa huyo ndugu yako kama unavyomjua haoni, haya huko mjini saa hio anatafuta nini"
Aliuliza dada yao ambae ni jamila,
"heeeeeeeee ivi hujui kama sasa hivi anaona"
"anaona???.... Kafanya nini mpaka kaona"
"heeeeeeeee inaenda mwezi wa tatu huuu"
Jamila yeye kaolewa hivyo mambo yanayofanyika huku yeye hayajui, hata alipokuja alishangaa sana kuona nyumba yao imezidi kuwa nzuri zaidi, na mbaya zaidi anaambiwa kuwa mdogo wake sio kipofu tena...
"jamani nani katoa msaada mkubwa hivyo"
"ni mpenzi wake huyo... Kamchukuwa na kwenda kumfanyia kazi"
"inaonekana kapata mpenzi tajiri eee"
"sanaaaaa, ila huezi amini hata zai mwenyewe hajui kama mpenzi wake ni tajiri"
"kwanini sasa"
"sijui"
Walijikuta wanaongea mambo mengine na kusahau jambo la zai kutembea usiku alianza lini,... Mana huyu Zainabu ni mmoja kati ya CCMT hivyo kumuona pacha wake huko katika mitaa anayotembea...
Tukija huku ofisini kwa kijana sheby ikiwa ni mida ya jioni hivi kila mmoja alikuwa akijiandaa kuondoka zake.. Ghafla mfanyakazi wake mmoja wa kiume kaja ofisini kwa sheby,.. Ni washkaji sana na wamezoeana sana japo ni boss kwa mfanyakazi,..
"aaahhhhh boss naona bado upo na wakati tunaondoka sie"
"aahhhhh mawazo mengi bwana"
"sasa skia mzee.... Jana saa ngapi sijaingia mitaa ya kati nikakutana na toto bichiiiiii"
"wapi uko"
"mjini kati... Mtoto alitupia, mkali nikamwona piga mistari mingiiii kaingia laini... Ndani... Kichapo"
"eeeehh mambo yako ayooo"
"mtoto rangi ya chocolate shepu ya maana"
Saidi alikuwa akiongea kwa kujisifu sana
"sawa bwana kula ujana"
Sasa tukija huku kwa akina rose wakiwa ndio wanafika nyumbani na kumkuta mwai kakaa kwenye gari yake akiwa anawasubiri rafiki zake wakubwa...
"ooohhhh afadhali mumefika,.. Nilikuwa nawasubiria muda tu yani"
"we nawe kwanini usingepiga simu sasa.."
"mmmhhhh rose... Kwani vinapigika simu"
"heeeeeee kwani vipi mwenzetu"
"we acha tu, nina janga hilo sijui nilipeleke wapi"
Aliongea mke wa sheby huku wakiingia ndani, kama kawaida yao wakikutana umbea mwingiiii...
"enheee hebu nipe umbea mana wewe kwa umbea umo kweli"
"yaani huu sio umbea.. Ni ukweli mtupu"
"nini tena mwai... Au Umeachika nini"
"bora hata ningeachika rose"
Mwai alikuwa anawaza atamwambia nini sheby kuwa ana mimba yake na wakati hajawahi kulala nae hata siku moja japo ni mume wake,..
"kwani una nini"
"nina mimba rose"
"heeeeeeee sasa cha ajabu ni kipi hapo"
"nina mimba lakini sio ya mume wangu... Ni mimba ya james"
"Eeeeehhh maakubwa ya jongo hayo"
"nipeni ushauri basi jamani nifanyeje"
"lakini mwai, kwanini mtoto wa watu hujawahi kumpa haki yake ya ndoa"
"ni kweli... Lakini mi simpendi yaani hata kumpa mwili wangu naota kama vile nafanya na mbwa vile"
Ghafla mary kadakia
"we dada mwai, yaani ukifanya mapenzi na huyo unahisi kufanya na mbwa?"
"we mary kwanza we bado mdogo yatakukuta haya"
"sawa lakini sio hivyo dada mwai unamkufuru mungu"
"atajua mwenyewe mi nakaona kama kambwa tu"
Mary hakutaka hata kusikiliza akaingia zake chumbani mana wamepangisha dabo rumu....
"sasa skia mwai mi nataka nikupe ushauri mmoja tu"
"ushauri gani huo"
"tembea nae.. Leo akirudi mpokee vizuri, mpeti peti... Mpe kitumbua chako, baada ya wiki unamwambia mimba ni yake... Hakatai ng'ooooo"
Je? Mwai atakubali kulala na sheby??.. Na je sheby atakubali kulala na mwai??... Je? Mmoja akikataa itakuwaje???...
