Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Matendo ya Wema (Acts of Good)

.....siongelei
matendo ya yule mwenye jina la Wema, mrembo wa Tanzania. Hakuna ubishi huyu ukiacha umaarufu wa 'dada' Mange hide my ID, Wema anabaki kuwa miss Tanzania wa ukweli sio kama wale mamiss wengine ambao walienda kule Mwanza kwa mjomba wangu wakawashangaza watu wa kule akiwemo mjomba wangu ambaye alisikika akisema kwa sauti miss Tz gani hana hata kalio (hakutamka kalio-alitamka jina sahihi la kalio, unazijua zile tacos za kimexana unakunywa na jamba juice?).

Naongelea wema wa matendo, usipende kujiumiza na kuumiza wengine, hisia wakati mwingine hutudanganya kama hakuna uhalisia. Unaweza ukajifananisha na rafiki wa anko wangu anaitwa Dr Shika ambaye yeye hana shida ya kununua nyumba inayopendeza zaidi kwa mia tisa tu. Ukimuona mtu ana njaa na una chakula usiache ashinde na njaa, hakuna bingwa wa njaa. Ukimuona mtu hatabasamu, wewe tabasamu na utamfanya awe na siku nzuri. Fanya matendo mema na siku zote utakumbukwa kwa uzuri na si matendo mabaya yanayokuharibia sifa yako nzuri.
Muziki sasa, ni Jumatatu leo na nikushukuru sana wewe Kapuku mheshimika (hata wewe unayeitwa baby na mpenzi wangu mwenyewe) kwa kuwepo hapa. Ujue nini, MF ni sehemu nzuri kwa sababu wewe upo hapa. LLL

 
Muziki: Matendo ya Wema (Acts of Good)

.....siongelei
matendo ya yule mwenye jina la Wema, mrembo wa Tanzania. Hakuna ubishi huyu ukiacha umaarufu wa 'dada' Mange hide my ID, Wema anabaki kuwa miss Tanzania wa ukweli sio kama wale mamiss wengine ambao walienda kule Mwanza kwa mjomba wangu wakawashangaza watu wa kule akiwemo mjomba wangu ambaye alisikika akisema kwa sauti miss Tz gani hana hata kalio (hakutamka kalio-alitamka jina sahihi la kalio, unazijua zile tacos za kimexana unakunywa na jamba juice?).

Naongelea wema wa matendo, usipende kujiumiza na kuumiza wengine, hisia wakati mwingine hutudanganya kama hakuna uhalisia. Unaweza ukajifananisha na rafiki wa anko wangu anaitwa Dr Shika ambaye yeye hana shida ya kununua nyumba inayopendeza zaidi kwa mia tisa tu. Ukimuona mtu ana njaa na una chakula usiache ashinde na njaa, hakuna bingwa wa njaa. Ukimuona mtu hatabasamu, wewe tabasamu na utamfanya awe na siku nzuri. Fanya matendo mema na siku zote utakumbukwa kwa uzuri na si matendo mabaya yanayokuharibia sifa yako nzuri.
Muziki sasa, ni Jumatatu leo na nikushukuru sana wewe Kapuku mheshimika (hata wewe unayeitwa baby na mpenzi wangu mwenyewe) kwa kuwepo hapa. Ujue nini, MF ni sehemu nzuri kwa sababu wewe upo hapa. LLL

Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom