makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,870
- 104,069
Warusi tena na pombe...
Warusi tena na pombe...
Kisa na mkasa cha kuichukia rangi ya kijani kiasi hicho!!?
Nawe pia chief..Wapendwa tuwe na siku njema
Hata kupiga miayo nacho ni kifungua kinywa mkuu..Asante sana BlessedHope kwa maneno ya baraka, asante anko Lyon Lee kwa UF na asante kwetu sote tulio hapa. Magazeti yatawajia muda si mrefu (itapendeza zaidi ukijua kwamba mimi huwa siweki magazeti, subirini shululu aagane kikubwa na Tumosa ndo atayaleta).
Tukumbuke tu kifungua kinywa unaweza amua hata kula kiporo, sio kila morning chai na chapati mbili.
...
Morng jiraniMorning KF family
Kwema chief.. nijuze hali yako na familia kiujumla..Chief kwema

Ubarikiwe sana sana ,kazi yako ni njema ..wiki njema ShululuView attachment 629890Asubuhi njema makapuku wote na mwanzo mwema wa wiki
Kweli lakiniHata kupiga miayo nacho ni kifungua kinywa mkuu..
Ohh sawa Makaveli10Mie leo sisemi asubuhi njema mpaka ifike saa 5:59![]()
![]()
Mwaghona kakaWakuu wazimaaa? Nawasalimia tu

Namshukuru aliye juuKwema chief.. nijuze hali yako na familia kiujumla..
Indi mkafu dada utwa ukwo uli ingukumbukite sanaMwaghona kaka![]()
Ubarikiwe sanaItoshe tuu kusema asubuhi njema jamani
Tubarikiwe sote my baby girl,Mungu akuangazie nuru ya uso wake na kukupa amaniNawatakia mwanzo mwema wa wiki,ikawe wiki ya baraka kwetu sote

Hakika mwanangu,Bless U ..Mungu akuongezee kila lenye heriSiku zinazidi kupungua ...mwaka huu ndo unavoisha nuhimu kujiuliza na kujitathmini.,,,

I see,strange
