Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Yule ata ajioverdoze atabaku alivo kama mojaaItabidi dada chuna nae achome sindano avimbeshe chura wake..
Yule ata ajioverdoze atabaku alivo kama mojaaItabidi dada chuna nae achome sindano avimbeshe chura wake..
Itabidi dada chuna nae achome sindano avimbeshe chura wake..
Za mimi namshkuru Mungu sana makaZa mimi ni salama wa salmin sijui za wewe mpendwa.
Mmh me ndio naingia ujueAminaa...nionee mama mchuchu
Mmake tumewekeana zamu za kupigiana simu na leo zamu yake sijaonaMmh me ndio naingia ujue
Ewaaaaa kuna yule mwanajeshi mwenzie alikua kipara hivi mweusii alimuuwa yaan hii nilikua naipenda ebu shem nitaftie basi kama ipo kwenye dvd
Anko salaaamuuu...kwani wengine mnapendaga nini? Uzuri wa maziwa yachache, mna mbwembwe nyie, mnayaita mtindi hayo ndo nayopendaga sasa
Binamu shikamoo agiza safari lager 4 bill ije kwangu ukitaka na mishkaki wakupe...kwani wengine mnapendaga nini? Uzuri wa maziwa yachache, mna mbwembwe nyie, mnayaita mtindi hayo ndo nayopendaga sasa
Yule ata ajioverdoze atabaku alivo kama mojaa
Kheeee siyajui hayo jamanMmake tumewekeana zamu za kupigiana simu na leo zamu yake sijaona
♀️
♀️
Hayo ndio mazoezi ya kuongeza chura binamu...hujamuona alivyo wewe, unawajua wale jumping frog
![]()
Mmake tumewekeana zamu za kupigiana simu na leo zamu yake sijaona
Nimecheka sana...mama mchuchu huyu huyu BH mwenye nina maslahi naye?



pambana na hali yakoHayo ndio mazoezi ya kuongeza chura binamu
Mie sifa ya kwanza mtoto awe mzuri, kasura kazuri nin, pua ya kikabacholi, hasa awe mweupe ndio ananimaliza kabisa, naugonjwa na watoto weupe mengine ni nyongeza, tako hata bata analo bhana anaishia kuliharishia tuu.....kwani wengine mnapendaga nini? Uzuri wa maziwa yachache, mna mbwembwe nyie, mnayaita mtindi hayo ndo nayopendaga sasa

Sasa mambo ya mjomba ako kwa mfano yaani yameingiaje hapa una ninii lakini wewe hizo safari usiagize tena nimeghaili mfyuuuu...haya ni kwa ajili ya kurusharusha chura! Uzuri wa kumwangalia chura awe anarukaruka, sio chura kama wale wa kule alikoendaga mjomba wangu Moshi, chura wa kule wanatembea taratibu kama guta.
Tuzidi kumshukuru kwa kweli neema na baraka zake kwetu hazina mfano.Za mimi namshkuru Mungu sana maka
Napambana nayo kweli hadi nimeishinda na sasa inapambana na mimi! Muite BH aje anisaidieNimecheka sanapambana na hali yako
Unamzungumzia bill duke auEwaaaaa kuna yule mwanajeshi mwenzie alikua kipara hivi mweusii alimuuwa yaan hii nilikua naipenda ebu shem nitaftie basi kama ipo kwenye dvd
Asanteee maka agiza kinywaji chochote bill ikuje kwangu chura chura unataka kuvumbua niniiMie sifa ya kwanza mtoto awe mzuri, kasura kazuri nin, pua ya kikabacholi, hasa awe mweupe ndio ananimaliza kabisa, naugonjwa na watoto weupe mengine ni nyongeza, tako hata bata analo bhana anaishia kuliharishia tuu..![]()
![]()
![]()
Japo awe na kashuzi kidogo sio ile plasta utafikiri kapigwa pasi, sipendi matako ya kichina au kama ya yna wa angelo![]()
![]()
![]()