Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie kula kitu hiko.. agiza na kilaji barid tutalipa hata mwakani maana hata serikali yetu inadaiwa ndio itakuwa sisi bhana..
...na tukishindwa kulipa tutajiunga na member wanaodaiwa madeni yasiyoweza kulipika so tutaomba deni la kilaji lifutwe, au wakiweka masharti tunamweka rehani aliyekunywa kilaji cha baridi
 
...na tukishindwa kulipa tutajiunga na member wanaodaiwa madeni yasiyoweza kulipika so tutaomba deni la kilaji lifutwe, au wakiweka masharti tunamweka rehani aliyekunywa kilaji cha baridi
Kwa kumuweka bondi ndugu yangu hapana, mafunzo ya kung fu yatachukua nafasi, kinywaji tunakunywa halafu tunaondoka ki boro yeung
 
Somo langu ulilielewa sana..

Mimi kama katibu wa kf kwenye masuala ya mabandiko na mapost.. napitisha post ya wimbo wa yawa..

Aisee obe muwekee ndugu yangu hicho kitu akonge moyo wake.
Ahahhaa lile somo liliniingia sana mpenzi wako akikuonyesha upendo na we mpende vile vile na sio unampenda wewe tu yeye hana time na wewe ile siku ulinijenga sana
 
Muziki: Kumbuka Mazuri Utabasamu

Makapuku hiki si kipengele cha siku zote ulichokizoea toka kwangu kuja kwako yaani kama Chakachaka, from me to you. Kipengele chenyewe kitakuja katika muda wake wa kawaida maana mimi kuwahi sijui na kuchelewa sio kwamba sijafika.

Tumeumbwa na hulka moja ambayo si nzuri kiafya ya roho na mwili, mara nyingi huwa tunapenda kukumbuka mambo ya jana na juzi ambayo yalitunyong'onyeza kwa kuwa tu leo na muda huu tumejikwaa kidogo. si wanasemaga majaribu ni mtaji na dhahabu ili iwe dhahabu lazima ipitishwe kwenye moto na kwa msemo wa anko wangu pombe nzuri lazima ichache kwanza na maziwa yakichacha yanakuwa mtindi ambao mimi naupenda sana. Mimi na mtindi na shanga kwa kweli ninapenda hadi natamani kumpa rushwa muadhini anirushe mida ya kuamka.

Muziki huu umeombwa na aunt yangu mnayemfahamu Shunie ambaye ni mke anayejulikana wa anko wangu. Kwa sasa anapambana ana hali yake na akisikiza muziki huu atatabasamu na kuachana na kulamba ndimu


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom