Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Morning baba ya TumosaMorning mkuu Lee
I feel you aunty, ni moja ya nyimbo ambayo imeimbwa ikiwa na kila vionjo vinavyotakiwa kuwasilisha ujumbe, pathos na logos.
Ukimaliza kulia kumbuka kutuma sadaka

Anko akiwa anawashwawashwa kuitafuta furahi deii ambayo anaamini ndo siku muhimu kuliko zote make ndo siku anayopewa self service ila hajasahau kukusalimia wewe kapuku na mm nikiwepo na kama usku hukuzipata salamu zake mama mchungaji ataziletaa kwa niaba yake make now wapo wanapasha kama ....

Nakusalimiaa husna mpenzi
Kila LA kheriTuko na singeli saa hizi mazoezi![]()
Za pande hizoMorning baba ya Tumosa
Kila LA kheri

Huku kwema kabisaZa pande hizo
Asante kwa kunisalimia mpenzi wanguNakusalimiaa husna mpenzi
Ulipo nipo na sikuachi kama maji na maporomokoAsante kwa kunisalimia mpenzi wangu
LioneeeUlipo nipo na sikuachi kama maji na maporomoko
