Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zaburi 139

14 Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa Kwa jinsi ya ajabu ya kutisha. Matendo yako ni ya ajabu, Na nafsi yangu yajua sana,

15 Mifupa yangu haikusitirika kwako, Nilipoumbwa kwa siri, Nilipoungwa kwa ustadi pande za chini za nchi;

16 Macho yako yaliniona kabla sijakamilika; Chuoni mwako ziliandikwa zote pia, Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.

17 Mungu, fikira zako zina thamani nyingi kwangu; Jinsi ilivyo kubwa jumla yake!

18 Kama ningezihesabu ni nyingi kuliko mchanga; Niamkapo nikali pamoja nawe.
 
*TUOMBE*
Mwenyezi Mungu tunakushukuru kwa kutufikisha siku hii ya leo. Tunasema Asante. Baba katika Jina la Yesu zidi kutupigania katika maisha yetu ya kila siku. Tunaomba usitupungukie, tukae nyuani mwako siku zote za maisha yetu.
Tumwagie mvua ya Baraka, achilia utayari katika Maombi,kusoma Neno,utii na kukufanyia Ibada kamili. Mungu bariki Taifa letu,Uchumi, Afya na kazi za Mikono yetu. Tunaomba haya machache na Mengine Mengi katika Jina la Mungu Baba,Mwana na Roho Mtakatifu Amina.


SIKU NJEMA WANA WA MUNGU ,NAWAPENDA SANA
Ameni mama twakupenda pia
 
Muziki: Wikend Bila Ngenga

Ninakusalimia na kukutakia muendelezo mzuri wa wikend hii. Bila wewe KF si chochote na wewe ni mtu mzuri sana na unajijua.

Muziki sasa, niko na anko ananisimulia kuhusu mechi ya watani wa jadi ambayo kama ulikuwa hujui imemalizika kwa sare, bahati yao.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom