Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ukisusa wenzako wanakula na kuliwaKuku yupo na simtaki tena
Ukisusa wenzako wanakula na kuliwaKuku yupo na simtaki tena
Nitakuletea siku Utakayompeleka obe kigmboni kwenye maombiEbu niletee jaman

Wewe mwenyewe hupendi kuna nayoAcha nimkane tu mbona ye hataki kuniona nikiwa na furaha tena aniachee
Maombi ya papuvh auNitakuletea siku Utakayompeleka obe kigmboni kwenye maombi
![]()
![]()
![]()
Ndo maaana anko obe kuku alitumwa akuletee akamgawa kimara
Na bado kufwa hufi cha moto utakiona
Nimekuona tuUmejuaje husna
Dawa ya moto ni moto ndo ilikua kauli ya bro mm nilikua taki mbumbumbu...sikumgawa kwa kupenda, nilishinikizwa. Wewe na kaka yako mlitaka kukataa kunisaidia kwenye lile koloni jipya
Sijamtafuta wapi nimetoka kuongea nae mda si mrefu hapa wozap na whatsapp zote ni moja...hamna bhana, mbona huwa naongelea na mambo mengine. leo tu nimejikuta nimemkumbuka anko wangu. Afu anasema mbona hujamtafuta kwenye wozap (hivi ina tofauti na Whatsapp)
Na mm namuonaaa...wewe tena, ningeshangaa kama usingeandika maneno ya kunikwaza. Mimi niko upande wako lakini wewe hata siku moja hujawahi kuunifanya nikatabasamu
Sijamtafuta wapi nimetoka kuongea nae mda si mrefu hapa wozap na whatsapp zote ni moja

Acha wakule na kuliwa mm nipo tuUkisusa wenzako wanakula na kuliwa
AniacheeeeeWewe mwenyewe hupendi kuna nayo
Waliwe nini shemAcha wakule na kuliwa mm nipo tu
Mijicho kodoo