Makapuku Forum

Makapuku Forum

..anko listen, nimeingia humu nikasalimiwa shikamoo, na si unajua kuwa mtu akishaanza na salamu ya shikamoo ujue alikuwa anakupifanyia fitna.

Ule mzigo ukifika naenda kukojoa pale geti la kuingilia Ikulu
Ujiandae kabisa na picha wakupige na mzigo unafika
 
..anko listen, nimeingia humu nikasalimiwa shikamoo, na si unajua kuwa mtu akishaanza na salamu ya shikamoo ujue alikuwa anakupifanyia fitna.

Ule mzigo ukifika naenda kukojoa pale geti la kuingilia Ikulu
Anko bwana kwa hiyo umepelekwa wapi sasa
 
Binamu huyo wa kununa najua ni mimi huyo hivi binamu huyu anko wako ndio yeye tu kila siku kweli jaman


...hamna bhana, mbona huwa naongelea na mambo mengine. leo tu nimejikuta nimemkumbuka anko wangu. Afu anasema mbona hujamtafuta kwenye wozap (hivi ina tofauti na Whatsapp)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom