Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Umuhimu wa Uongo

Najua muda umeenda na sina hakika kama unatamani kusikia nikikusalimia maana wengine kusalimiwa usiku huwa wanaona haifai. Yes, mjomba wangu kwa mfano, yeye kata kata hakubali umsalimie usiku, ukimsalimia anakuja na story za ajabu kweli, nyingine zina ukweli lakini kuziamini ni ngumu sana na ndiyo maana akaja na msemo wake kuwa uongo ni muhimu pale ukweli usipoaminika.

Halafu humu mnaweza kudhani namsingizia mjomba wangu, la, huyu ni damu yetu kabisa na inawezekana nilisingiziwa baba lakini sio mjomba. Ukitaka nuna lakini ndo tulivyo, tunatofautiana kidogo sana na anko wangu, ambaye naye pia kama alivyo mdogo wake wana tabia moja inayofanana. Nikiisema hapa unaweza kudhani ni kweli kumbe ni uongo na aunty yangu ndo kwanza katangaza kutonisaidia kwa lolote kisa tu ninasema ukweli na uongo hataki kuusikia.
Muziki sasa. Ujue leo najishangaa sana yaani najiona nimeandika mambo ya maana sana utasema niko shuleni vile, au wewe mpenzi msomaji unaonaje? sijauliza swali, nimetoa maelezo. Nakupenda sana Kapuku mwenzangu na uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri ya kuwepo. Karibu sana Plata O Plomo , next time mjomba wangu nitakuonesha na usije macho juu, nina mpenzi humu tunayependana sana. Na mimi na mjomba wangu hatujui kupigana, ukisalandia tunakushusha mshipa. Wengine hawwawezi kukutahadharisha, usiseme sijakwambia

 
Muziki: Umuhimu wa Uongo

Najua muda umeenda na sina hakika kama unatamani kusikia nikikusalimia maana wengine kusalimiwa usiku huwa wanaona haifai. Yes, mjomba wangu kwa mfano, yeye kata kata hakubali umsalimie usiku, ukimsalimia anakuja na story za ajabu kweli, nyingine zina ukweli lakini kuziamini ni ngumu sana na ndiyo maana akaja na msemo wake kuwa uongo ni muhimu pale ukweli usipoaminika.

Halafu humu mnaweza kudhani namsingizia mjomba wangu, la, huyu ni damu yetu kabisa na inawezekana nilisingiziwa baba lakini sio mjomba. Ukitaka nuna lakini ndo tulivyo, tunatofautiana kidogo sana na anko wangu, ambaye naye pia kama alivyo mdogo wake wana tabia moja inayofanana. Nikiisema hapa unaweza kudhani ni kweli kumbe ni uongo na aunty yangu ndo kwanza katangaza kutonisaidia kwa lolote kisa tu ninasema ukweli na uongo hataki kuusikia.
Muziki sasa. Ujue leo najishangaa sana yaani najiona nimeandika mambo ya maana sana utasema niko shuleni vile, au wewe mpenzi msomaji unaonaje? sijauliza swali, nimetoa maelezo. Nakupenda sana Kapuku mwenzangu na uwepo wako hapa unalifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri ya kuwepo. Karibu sana Plata O Plomo , next time mjomba wangu nitakuonesha na usije macho juu, nina mpenzi humu tunayependana sana. Na mimi na mjomba wangu hatujui kupigana, ukisalandia tunakushusha mshipa. Wengine hawwawezi kukutahadharisha, usiseme sijakwambia

Binamu huyo wa kununa najua ni mimi huyo hivi binamu huyu anko wako ndio yeye tu kila siku kweli jaman
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom