Umeamkaje mpendwaMy moneytalk nakusalimia
Mpendwa nimeamka poa kwa kweli kukuona tu roho inatulia tuliUmeamkaje mpendwa
Jaman my mpendwa mbona wanicheka
Vip wewe mbona mikono kichwani utafikiri umeporwa kipochi chenye mkopo wa vicoba!!![]()
![]()

JunMwambie MUNGU maneno haya
"Ee MUNGU muumba wangu na kimbilio langu, nashukuru kwa kunilinda usiku kucha na kuniamsha mzima asubuhi hii ya leo.Sina cha kukulipa ila nasema asante sana.Nakuomba uniongoze katika siku hii ya leo,ukamwage baraka zako tele ukanipe kibali machoni pa kila mtu uniepushe na kila maovu nipe kushinda kwa kila jambo Unapowazuru wengine usinipite kwani wewe ndiye kimbilio langu na msaada wangu wakati wa shida.AMENI"
>Asubuhi njema.

Wewe ndo anko ananimbiaga kuwa ulikua mbaya wa binamu yake
Nini lakini
Wewe ndo anko ananimbiaga kuwa ulikua mbaya wa binamu yake
mimii?jamani mbona kuoneana hukuShemela za wewe, umeadimika sanaNa kwako pia shemela
Pamoja sana mkuuAsante mkuu