Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Ilipoishia →↓↓↓↓←
"shikamoo "
"marahaba vp"
"safi tu... Naskia kuna ishu ya kwenda india"
"ndio, ila hio huiwezi we zako za kenya uganda, huko niachie mimi"
Aliongea mzee huyo huku akiendelea kuangalia tv, lakini ghafla mama sheby anaingilia kati
"lakini baba sheby, kwani mtoto akijua na huko kuna shida gani"
"yes mamiii hebu mwambie baba... Kama vipi nitume nikauchukuwe huo mzigo"
"wewe sheby huezi.. Ni mizigo ya thamani sana huko huezi wewee utahari kazi.. Nitakwenda mwenyewe"
"babaaa, nipe nafasi hio moja tu basi yaani hio tu"
"kwanza ulishawahi kwenda india wewe"
"si tulishaendaga wote"
"nasemea peke yako"
"aahhhh peke yangu sijawahi kwenda"
"sasa je"
"shikamoo "
"marahaba vp"
"safi tu... Naskia kuna ishu ya kwenda india"
"ndio, ila hio huiwezi we zako za kenya uganda, huko niachie mimi"
Aliongea mzee huyo huku akiendelea kuangalia tv, lakini ghafla mama sheby anaingilia kati
"lakini baba sheby, kwani mtoto akijua na huko kuna shida gani"
"yes mamiii hebu mwambie baba... Kama vipi nitume nikauchukuwe huo mzigo"
"wewe sheby huezi.. Ni mizigo ya thamani sana huko huezi wewee utahari kazi.. Nitakwenda mwenyewe"
"babaaa, nipe nafasi hio moja tu basi yaani hio tu"
"kwanza ulishawahi kwenda india wewe"
"si tulishaendaga wote"
"nasemea peke yako"
"aahhhh peke yangu sijawahi kwenda"
"sasa je"
Waebrania 12:22-26
