Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ilipoishia →↓↓↓↓←

"shikamoo "
"marahaba vp"
"safi tu... Naskia kuna ishu ya kwenda india"
"ndio, ila hio huiwezi we zako za kenya uganda, huko niachie mimi"
Aliongea mzee huyo huku akiendelea kuangalia tv, lakini ghafla mama sheby anaingilia kati
"lakini baba sheby, kwani mtoto akijua na huko kuna shida gani"
"yes mamiii hebu mwambie baba... Kama vipi nitume nikauchukuwe huo mzigo"
"wewe sheby huezi.. Ni mizigo ya thamani sana huko huezi wewee utahari kazi.. Nitakwenda mwenyewe"
"babaaa, nipe nafasi hio moja tu basi yaani hio tu"
"kwanza ulishawahi kwenda india wewe"
"si tulishaendaga wote"
"nasemea peke yako"
"aahhhh peke yangu sijawahi kwenda"
"sasa je"
 
Sheby alikuwa anaitaka sana hio safari ya india na sijui ana ishu gani na huko
"baba.... Niamini mi mtoto wako nitume niende huko..nitafanya vizuri"
"mama sheby... Huyu mtoto mbona hanielewi... Hebu mwambie basi mwanao"
"lakini Baba sheby naomba nikuulize swali moja tu... Baada ya wewe nani atamiliki hizi mali"
"si hili jinga"
"heeeeeeee kawa jinga tena"
"ndio.... Leo nimeangalia kwenye akaunti ya kampuni, imepungua milioni 15, kazipeleka wapi? Leo nije nimuachie kazi kubwa kiasi hicho.. Hapana Siwezi"

ENDELEA.........



Baba yake sheby alikuwa ana hasira sana juu ya jambo hilo la sheby kuchukuwa milioni 15 bila idhini ya baba yake,.. Sheby alishangaa sana kuskia kuwa kachukuwa milioni 15 kwenye akaunti ya kampuni yao,..
"mzee, si ulisema ile pesa nimpelekee mzee magese"
"sasa kama umempelekea mbona kanidai tena na nimempa, kwanini asiseme kuwa ulishampa... Sheby staki ujinga na pesa eti"
"mzee, kama huamini ebu tumpigie"
"ngoja nimpigie mimi... Staki ujinga na pesa mimi, Alaaaa"
Baba yake sheby alichukuwa simu yake na kupiga simu kwa mzee magese, simu iliita na hatmae inapokelewa
"halo mr magese habari yako"
"salama mr rashidi.... Sasa kumbe kijana wako alishanitumia ile pesa ila sikujua na hata sasa hivi nilikuwa nikkupigie baada ya kutoka kuoga"
"aahaaa nami ndio niliokuwa nakupigia"
"hakuna shida, nimeshairudisha kwenye akaunti yako"
"ok Ahsante mr magese"
 
Walimaliza maongezi yao kisha baba yake sheby akamgeukia mtoto wake,
"una bahati sana... Mana naijua akili yako inawaza starehe tu"
Alionge mzee rashidi huku akiwa anatabasamu kwa mbali,...
"sasa nichukue pesa yote hio yanini"
"basi yaishe.... nilijua umechukua"
"ok... Sasa mzee, vipi nitaenda mimi au"
"hebu ngoja kwanza, tutajua hio siku ikifika"
Aliongea baba yake sheby huku akiendelea kuangalia tv kwa umakini wa hali ya juu mno,... Ikiwa ni mida ya saa 2 usiku sheby akiwa chumbani kwake ghafla mlango wake unagongwa, alikuwa ni mfanyakazi wa ndani ndio kaja..
"kaka chakula tayari"
Aliongea dada huyo huku sheby akiamka kutoka kitandani mana alikuwa kajipumzisha baada ya kurudi supamaketi....
"sawa nakuja"
Alijibu kijana huyo na kumfanya dada huyo aondoke baada ya kujibiwa kuwa anakuja
"afu Samahani Jacqueline"
Alimsimamisha dada huyo kana kwamba kuna kitu alitaka kuongea nae
"abee kaka"
Aliitika jack huku akiwa anafikicha mikono yake
"hivi mbona kila ukija chumbani kwangu huji kiheshima"
"kakaaaaaa"
Jack aliita huku macho yake kama yakumtega sheby,... Na hapo alipo kavaa gauni refu afu jepesiiiiii, ambalo lilionyesha nguo ya ndani kutokana na uwepesi wa gauni hilo,.. Jack alikuwa akimpenda sana mtoto wa boss wake, lakini ile hali ya kuongea ndio anashindwa na ndio maana wanawake wengi huishia kutaamka kwa vitendo tu, mana akiongea ataonekana malaya, hivyo vitendo ndio kila kitu kwao..
"jack, spendi hii tabia, naomba usifanye hivi tena"
 
Sheby aliongea huku mkono wake wa kushoto upo mfukoni, kana kwamba Zakaria au babu juma kasimama baada ya kumuona jack... Hivyo kaingiza mkono mfukoni ili kumseti akae vizuri,
"sawa kaka"
Jack aliondoka lakini ni kwa mwendo wa kumsumbua mtoto wa kiume, sheby alifumba macho,.. Maana ndembetembe sio ndembetembe, tepetepe sio tepetepe,.. Sheby kabaki kushika kichwa huku macho akiwa kayafumba,..

Baada ya siku kadhaa kupita na leo ni siku nyingine tena sheby akiwa zake ofisini kwake akiendelea kuandika baadhi ya karatasi za kikazi,
Ghafla simu ya mezani inaita
"halooo"
"sheby njoo ofisini kwangu"
Alikuwa ni baba yake ndie aliemuita mana mtoto ana ofisi yake na baba ana ofisi yake, ila jengo ni moja na kampuni ni moja, sheby alitoka ofisini kwa na kwenda kwa baba yake,..
"ndio mzee"
Alifika kijana sheby na kumsikiliza baba yake amemwitia nini
"kuna wasichana wawili hujawaona hapo reception"
"aahhh sijawaona.. Kwani wananidai nini, au wamesema nimewaita"
Sheby alianza kuongea mambo tofauti tofauti, mana anajua hii hali ilishawahi kutokea kwa msichana mmoja aliekuja hapa hapa ofisini na kusema kaja kwasababu ya Sharbiny (sheby) na hakupewa ahadi ya kuja hapo lakini kaja sasa na leo wamekuja wawili sheby akaanza kuruka mapemaaa kabla hajajua kama wasichana hao wamemfuata yeye au..
"mbona una haraka hivyo.. Kwani hawa wanawake wamekufanya nini wewe, mbona kama hupendi wanawake"
 
"mzee, mimi sipendi kuharibu CV zangu kwako.. Mana nikiwa mchakaramu hutoniamini tena"
"ni sawa, lakini unaonekana unawachukia sana"
"mzee tuyaache hayo, hebu niambie hao wasichana wamesemaje kuhusu mimi"
"hawakusema lolote kuhusu wewe, na wala hawakujui wala huwajui... Ila wameomba kazi, lakini sina muda wa kukagua vyeti vyao, hivyo nimewaambia wasubiri kwanza hapo reception kisha nitawaita"
"ok nipe nikazikague kule ofisini kwangu"
Sheby alichukua vile vyeti na kutoka navyo mpaka ofisini kwake,..

Alianza kukagua cheti kimoja baada ya kingine, na cheti alichokishika kiliandikwa jina la MARRY JOHN KISUI... Alikuwa ni msichana mwenye miaka 22 mzaliwa wa jijini Dar es Salaam lakini kahamia jijini Arusha,.. Elimu yake ni kidato cha nne, lakini alionekana kufaulu ila huenda ugumu wa fedha ndio uliomkwamisha hivyo ndio mana alikuja kuomba kazi...
Alipomaliza kukikagua chote kisha akakifuata na kile cheti cha pili, alikifuatilia kwa umakini kwa kukisoma vizuri, jina lake aliitwa ROSE EMMANUEL HAULE mwenye umri wa miaka 24 nae alizaliwa jijini Dar es Salaam na kuhamia arusha, elimu yake ni kidato cha sita na alifaulu vizuri...

Baada ya kuvipitia vyeti vyote kwa umakini wa hali ya juu, sheby alinyanyua simu ya mezani na kumpigia Secretary..
"walete hao wasichana"
"sawa boss"
Baada ya dakika kadhaa mlango uligongwa na kuingia ndani, walikuwa ni wasichana wazuri, wadada na maumbo yao, binafsi wao walihisi kupata kazi popote kutokna na uzuri wao,...
"boss, ni hawa hapa"
 
"ok unaweza kwenda kuendelea na kazi"
Aliongea sheby kumuamuru Secretary aondoke akaendelee na kazi
"rose ni nani hapa"
Aliuliza kijana sheby huku akiwaangalia kwa umakini sana....
"mimi apa boss"
Alijionyesha dada huyo huku mioyo yao ikiwaenda mbio, kwa kuhofia kukosa kazi...
"ok wewe rose kaa pale"
"sawa boss"
"na weweeee, nani vileeeee..... Marry"
"abee boss"
"mbona unaonekana imefaulu lakini umeishia elimu ya chini"
"hali ya kulipia kalo ilikuwa ngumu boss"
Aliongea marry tena kwa huzuni sana, lakini sheby yeye hakuwa mtu wa kuangalia mtu usoni, hua anafanyakazi kiufasaha kabisa,...
"okeee... Sasa wewe rose, unajua kutumia kompyuta vizuri"
"ndio.. Ila sijasomea kazi zake.. Yaani mifumo yenu ya hapa siijui"
"wewe unaitumia kwa mfumo gani"
"mimi natumia mfumo wa maintenance"
"Prog Excel ulishawahi kuisomea"
"hapana boss sijawahi"
"mungu wangu weeeee... Sasa itakuwaje"
Aliongea sheby huku akikuna kichwa, na akiangalia kwenye kampuni yao kuna nafasi mbili kama jinsi walivyo, ila sasa elimu zao zilikuwa ni za chini sana, na mbaya zaidi hawakusomea programu yeyote ile,...
Marry alianza kuwa na wasiwasi juu ya kupata kazi, mana kama rafiki yake rose tu ni form six lakini anakutana na maswali ambayo hata huyo marry hayajui hata kidogo, tena kama hio Prog Excel ndio kwanza hata haijui, na kampuni ya akina sheby ni kampuni kubwa sana jijini hapo yaani ni kampuni ya usafirishaji wa mizigo kwenda nje ya nchi na hata ndani ya nchi katika mikoa mbalimbali,..
"kiukweli vyeti vyenu haviwezi kuwapatia kazi,.. Na mbaya zaidi hamuna hata Experience ya Prog yeyote ile,.. Mi nadhani sina kosa mpaka hapo, mana nilitaka niachane na hivi vyeti nihamie kwenye uzoefu, lakini hata uzoefu wenyewe hamuna"
Aliongea kijana sheby huku akivikusanya vyeti vyao, kana kwamba aliwataka waondoke tu,..
"boss, tuseidie.. Tuna shida na kazi"
"kweli tuna nafasi mbili kama mlivyo, lakini nafasi hizo hamuziwezi kwasababu zinahiraji elimu ya kutosha, mbali na elimu bado mlitakiwa kuwa na Experience ya kazi hizo"
 
"ni sawa, lakini boss, je tungesoma Experience ngapi ili kila mahari tupate kazi,.. Na hizo gharama za kusoma hivyo tungelitoa wapi kama hata elimu ya kawaida ilitushinda kutokana na hali za familia zetu"
Sheby akisikia jambo la familia hua anajiskia huruma sana lakini haikuwa na jinsi,. .
"tena bora hata wewe una form six nzuri tu, lakini sasa huyu mwenzio huyu, aisee sina mpango nae kabisa.. Yaani asitegemeee... Kwa wewe rose, hebu njoo kesho tujue cha kufanya lakini jua kuwa ni asilimia 50 za kupata na 50 za kukosa"
Sheby aliongea hivyo kisha akatoka kuelekea uwani, na tayari keshawapa ukweli wao.... Mary alianza kulia kwa kukosa kazi,.. Wakati huo sheby kaelekea uwani
"mary, lakini hata mimi sina uhakika, tena bira hapa tumepokelewa vyeti, kuliko huko tulipopita hata kuonyesha vyeti tu hawataki"
"kama ni kukosa wacha nikose... Lakini mimi nikafanye kazi kiwandani kweli,.. Siamini kweli"
Mary alilalamika sana kuwa yaani yeye akafanye kazi kiwandani, mana kakosa kazi karibia ni kampuni ya tatu hio, .
"sikiliza mary,.. Kwa sasa hebu tuyaache maisha ya kuigiza, tulikuwa tunavaa nguo za maana lakini hazikuwa zakwetu,.. Nguo za mwana ndio zilizokuwa zikituonyesha kuwa sisi ni wasichana wa kitajiri,... Lakini sasa tuyaache hayo tufanye kazi"
"rose.. Ni kweli kabisa lakini"
"lakini nini??.... Sasa skia mary, mimi naondoka ila wewe baki hapa hapa.. Fanya juu chini mpaka akubali, wewe ni mwanamke bwana utashindwaje kutumia umwanamke wako"
"rose,... una maana gani kusema hivyo"
"usijifanye hujui mary, tuachane na kazi za kuigiza kuonekana matawi kumbe tunalingia nguo zawatu"
"lakini sijakuelewa rose"
"sikiliza... Hata ukimpa haondoki nacho, kikubwa upate kazi tu"
Aliongea rose kumshawishi mwenzie kuwa ajirahisishe kwa sheby ili apate kazi
"basi usiondoke rose.. Nijitahidi kufanya hivyo, lakini ni ngumu kwangu"
"jitahidi tuuuu"
Basi rose aliondoka na kumuacha mary pale ndanu ili sheby akija akutane na vimbwanga vya dada huyo,.. Haikupita muda sheby karudi, na rose yeye yupo pale reception anamsubiria rafiki yake amtege mtu huko ndani...
"heeeeee bado hamjaondoka tu"
Aliongea sheby huku akikaa kwenye kiti
"boss, nina shida na kazi"
Mary aliongea hivyo lakini kila akitaka kubinua matiti yake yatoke nje, anashindwa kufanya hivyo mana sio kawaida yake,.. Alichokiweza ni kulegeza macho tu peke yake, huku akijitahidi kupandisha suruali..
"Bosiiiiiiiiii.... Nina familia kubwa, mama yangu anaumwa, nategemewa na familia yangu boss, nisaidie kupata kazi tu, na sio lazima iwe hapa, ila kampuni yeyote ile lakini uniseidie"
Sasa chidi huruma ilimjia baada ya kusikia mambo ya familia,... Lakini kila akimuangalia mary anakuta kuna action anaziona zinaanza kufanyika..

"huyu mtoto wa kike anata kazi, na ni kweli ana shida ya kazi lakini mbona anaonekana kunitega kimapenzi hivi..... Hebu ngoja nami nimtanie kama vile nimetegeka, ili nijua kuwa yupo tayari kuuza utu wake kwasababu ya kazi au laaa"
 
Sheby alijiongekea mwenyewe kimoyomoyo huku akiamka na kumkamata mary mpaka ukutani,.. Wakati huo mary anatetemeka kwa woga mana hajawahi kumtega mwanaume bila kutongozwa,.. Hivyo hata mihemo yake ilionyesha dhahiri kuwa sio ridhaa yake bali ni shida ndio ilimfanya akubali hilo... Sasa sheby alipomfikisha mpaka ukutani, alijikuta anaipandisha sketi yake mpaka juuu,.. Mary alikuwa anatamani kuzuia ili asifanye hivyo lakini hakuwa na jinsi mana ni shida ndio iliomleta, hivyo ikamlazimu kutulia.. Sheby alipeleka lipsi zake katika lipsi za mary,.. Mary kuona vile alifumba macho kumaanisha kwamba yupo tayari anyonywe denda lakini moyo wake ulikuwa hautaki tendo hilo.... Wakati huo huku chini kijana sheby anaendelea kuipandisha ile sketi ya mary.... Laaaaa Haulaaaa sheby kakutana na chupi ya mary,.. Aliigusa na kumfanya mary afumbue macho kwa woga.. Sheby aliishika chupi hio na kuivuta kidogo...
Mary alizidi kuogopa na kujua kuwa leo ndio siku ya kubakwa kisa kazi.. Alikumbuka maneno ya rafiki yake rose yakisema kuwa
"mary rafiki yangu,.. Najua jambo hili ni gumu sana kwako,.. Lakini vumilia tu tupate kazi rafiki yangu, natamani nikusaidie lakini siwezi mana tutaonekana sisi ni malaya,.. Akitaka mkubalie tu ili tupate kazi"
"rose,.. Lakini si unajua mi sipendi tabia hio... Kwanini usiwe wewe"
"nina sababu mbili za kutofanya hili... Kwanza, kaniambia nije kesho, kana kwamba kuna uwezekano wa kupata kazi au kukosa... Afu pili.. Mi najua we ni mzuri kuliko mimi, na una umbo la kumchanganya mwanaume yeyote yule kuliko mimi... Sipendi tuachane mary,.. Mpe tufanye kazi, tuachane na maisha ya kuigiza mtaani"
Mary Alipomaliza kukumbuka, alishangaa kuona chupi yake ipo nusu.. Ilionekana hata sheby hakuwa akitania tena kama alivyotaka kufanya utani juu yake,

Je? Mary atakubali kuutoa mwili wake kwasababu ya kazi???.... Na je? Sheby atafanya kweli au anaendelea kutania tu..... USIKOSE
 
Waebrania 12:22-26
[22]Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,
[23]mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote, na roho za watu wenye haki waliokamilika,
[24]na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.
[25]Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;
[26]ambaye sauti yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini sasa ameahidi akisema, Mara moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.

Ubarikiwe mnoo ukitafakari, NENO la uzima usiku huu
 
Waebrania 12:22-26
[22]Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,
[23]mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote, na roho za watu wenye haki waliokamilika,
[24]na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.
[25]Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;
[26]ambaye sauti yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini sasa ameahidi akisema, Mara moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.

Ubarikiwe mnoo ukitafakari, NENO la uzima usiku huu
Amen
 
Waebrania 12:22-26
[22]Bali ninyi mmeufikilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai, Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,
[23]mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote, na roho za watu wenye haki waliokamilika,
[24]na Yesu mjumbe wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema kuliko ile ya Habili.
[25]Angalieni msimkatae yeye anenaye. Maana ikiwa hawakuokoka wale waliomkataa yeye aliyewaonya juu ya nchi, zaidi sana hatutaokoka sisi tukijiepusha na yeye atuonyaye kutoka mbinguni;
[26]ambaye sauti yake iliitetemesha nchi wakati ule; lakini sasa ameahidi akisema, Mara moja tena nitatetemesha si nchi tu, bali na mbingu pia.

Ubarikiwe mnoo ukitafakari, NENO la uzima usiku huu
AMEN ubarikiwe mpendwa. neno la MUNGU ni taa ya kutuongoza na ni silaha mojawapo ya kumshinda adui mwovu. Na pia ndani ya neno tutaijua kweli
 
Muwe na usiku mwema wapendwa.

MUHIMU:

>> mshukuru MUNGU kwa ajili ya siku nzima kwa kukupa kibali ya kufika muda huu.
>> mwombe akulinde usiku huu ili kesho uweze kuamka ukiwa na afya njema na uweze kuendelea na majukumu yako
>> ombea TANZANIA YETU na serikali yetu kwa ujumla.

MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI, AKULINDE, AKUTUNZE na AKUFUNGULIE MILANGO YA BARAKA. AMINA
 
Muwe na usiku mwema wapendwa.

MUHIMU:

>> mshukuru MUNGU kwa ajili ya siku nzima kwa kukupa kibali ya kufika muda huu.
>> mwombe akulinde usiku huu ili kesho uweze kuamka ukiwa na afya njema na uweze kuendelea na majukumu yako
>> ombea TANZANIA YETU na serikali yetu kwa ujumla.

MUNGU WA MBINGUNI AKUBARIKI, AKULINDE, AKUTUNZE na AKUFUNGULIE MILANGO YA BARAKA. AMINA
Asante mkuu.
 
b5dc509b7c524e9b91fe7637a90e252b.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom