Makapuku Forum

*
TUOMBE*
Tunakushukuru Mungu kwa kutufikisha siku hii ya leo. Tunaomba Moyo wa shukrani tuje mbele zako kwa sadaka,sifa na shukrani. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Moto wa Roho Mtakatifu . Tunaombea wote wenye mahitaji mbalimbali. Kutana na haja ya kila mmoja mmoja pamoja na familia zetu . Ni katika Jina la Yesu tumeomba tukiamini na kushukuru Amina.

SIKU NJEMA MBARIKIWE
 
Hahahhah umenikumbusha dada alikua pasua kichwa
 
Amina mama kipenzi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…