makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,864
- 104,048
Na kwako pia mpendwaTUOMBE:
UHIMIDIWE JEHOVA MFALME.
Ahsante kwa ulinzi wako kwa masaa yote.
Tubariki Bwana.
Leo tukawe mikononi mwako.
Poza wauguao, Fariji wenye huzuni, Leta Umoja Upendo na Amani kwa watu wako.
Malaika wako na wakafanye kituo kwa kila mtu , tuingiapo na tutokapo.
Naomba ni katika Jina la Yesu Amina
SIKU NJEMA KWENU WOTE![]()
TUOMBE: