Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji4][emoji4] shem naona leo unakesha na wazee wa night binamu obe na maka me nalala jaman
Usiku mwema shunie, fikisha salam zangu kwa lee..

Mpunguzie dose bhna, unamfanya saana, mpaka anasahau jinsia yake bhana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
 
[emoji524]Isayaya 62:6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu; hawatanyamaza mchana wala usiku; ninyi wenye kumkumbusha Bwana, msiwe na kimya


ULINZI WA MUNGU BABA WATUZINGIRA..TUSHUKURU[emoji120]
 
[emoji524]TUOMBE:
UHIMIDIWE JEHOVA MFALME.
Ahsante kwa ulinzi wako kwa masaa yote.
Tubariki Bwana.
Leo tukawe mikononi mwako.
Poza wauguao, Fariji wenye huzuni, Leta Umoja Upendo na Amani kwa watu wako.
Malaika wako na wakafanye kituo kwa kila mtu , tuingiapo na tutokapo.
Naomba ni katika Jina la Yesu Amina

SIKU NJEMA KWENU WOTE[emoji120]
 
[emoji524]TUOMBE:
UHIMIDIWE JEHOVA MFALME.
Ahsante kwa ulinzi wako kwa masaa yote.
Tubariki Bwana.
Leo tukawe mikononi mwako.
Poza wauguao, Fariji wenye huzuni, Leta Umoja Upendo na Amani kwa watu wako.
Malaika wako na wakafanye kituo kwa kila mtu , tuingiapo na tutokapo.
Naomba ni katika Jina la Yesu Amina

SIKU NJEMA KWENU WOTE[emoji120]
Mama asante sana hakika kazi ya bwana unayo share na sisi inatufanya kila siku kuianza na baraka
 
[emoji524]TUOMBE:
UHIMIDIWE JEHOVA MFALME.
Ahsante kwa ulinzi wako kwa masaa yote.
Tubariki Bwana.
Leo tukawe mikononi mwako.
Poza wauguao, Fariji wenye huzuni, Leta Umoja Upendo na Amani kwa watu wako.
Malaika wako na wakafanye kituo kwa kila mtu , tuingiapo na tutokapo.
Naomba ni katika Jina la Yesu Amina

SIKU NJEMA KWENU WOTE[emoji120]
Amen, Asante kwa neno mama mchungaji Ubarikiwe sana
 
IMG-20171019-WA0010.jpg
 
Back
Top Bottom