makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,893
- 104,126
Nakufa mwa preshaWenye team yao wamekuja radika umeona eenh
Nakufa mwa preshaWenye team yao wamekuja radika umeona eenh
Mawazo yako tuuWe unalako jambo, c bure.
Muulize lee anajua alichokifanya humu..Kwani kulitokea ninii jana maka
Nijifanye nikubali watu wakulane kiukweli halaf baba d anakuja ujue mama d mautani ya kapuku tu yale mautani my foot akianzishaga mambo zake namnunia anajua
Sawa nakuamini.Leo mimi shunie jaman maka
Maka ngoja nitamuuliza vizuriHaya, mjanja yeye..
Itakuwa ya notiYa noti au kichele
Nitamuuliza maka ngojaMuulize lee anajua alichokifanya humu..
Kwakuwa kasema mwenyewe sisi nani tubishe, japo akili za kuambiwa ongeza na zako mwenyewe.

Nijifanye nikubali watu wakulane kiukweli halaf baba d anakuja ujue mama d mautani ya kapuku tu yale mautani my foot akianzishaga mambo zake namnunia anajua

WoyooooooooBaba askofu mwenyewe..![]()
![]()
![]()
Kumbe mistari unaiwezaNakuachaje kwa mfano.. umekamata nusu ya moyo wangu, na nusu iliyobaki kwangu yote nakupenda wewe..

Naishiga kumpa likes tu jaman bora baba d alivyotoka kapuku hamjui tu nilivyofurahi namtafutia captain morgan nimpe babe wangu
Wereeeeereeeeee...Kama maji tushabatizwa utotoni wacha tubatizane kwa mibusu moto moto..
![]()
![]()
![]()