Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Lakini si wa hapo ofisini ukimpigia no nyingine vipiYaan sielewii
Lakini si wa hapo ofisini ukimpigia no nyingine vipiYaan sielewii
Ata sina nyingineLakini si wa hapo ofisini ukimpigia no nyingine vipi
Salama umeshindaje baba wawiliMy love za mchana
Niko poa kabisa my swiSalama umeshindaje baba wawili
Marahabaaa shemela wanguSalama shemela shikamoo
Kama wa hapo ofisini hakuna shida labda yupo mbali na simuAta sina nyingine
Uko poa kabisa shemelaMarahabaaa shemela wangu
Hazina ukali wowote tatzo akili zao ziko fyatu fyatu, wakiongeza na bangi kidogo zinafyatuka..![]()
![]()
huyo mtu pichani ni nani?! Au anafanana na nani?!Makavu liveWeeee binamuuu shindwaa we na anko wako sihitaji hg kazi zangu nazimudu kama mmetafuta kisingizio cha kuleta mke wa pili kwangu haiingia mwanamke wa kumisaidia kazi tena mpe salaam anko wako

Niko poa kabisa shemela, za kwakoUko poa kabisa shemela
Shunie sio wako banaaThats my shunie..
Malkia wa nguvu![]()
![]()
![]()
ni Wa Lee empireMmechetukaLyon leeoooohhhh
Kumbe mnapikwa...!!Hahaa.. we ndio mzur shunie, ndio maana twaiva..