Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Swaga tu unaonekana hamna kitu.Hee! Kumbe natoa tongozo hapa
Swaga tu unaonekana hamna kitu.Hee! Kumbe natoa tongozo hapa
Mbona muda tu unaenda ila matokeo hayaonekani??Bado 390 angalau ondoa 20
Hiyo ya pili ndo iko sahihiHivi kurembua ni dalili ya kutongoza ama kutongozwa??
Poaz mkuu, mishe zinaendaje?Mkuu niajez..... Karibu sana
Unaremba sana mtani, piga kaziMarhabaaa, babu yenu karudi toka mbali kaleta yake madafu nimemailza kuyanywa sasa nikaona niwacheck sababu hamuaminiki. Wengine hawazingatii elimu yaani lugha na miiko yake na lafudhi na vina na mikongosio yake.
Hehe tongozoHee! Kumbe natoa tongozo hapa
Katakuwa kalevi, kulewa kila siku nayoItakuwa smartphone ina mzidi nguvu au ana lewa sana mbege.
Unakosa adabuHehehehe kazi anayo
Mtag ajeKuna mdada nammis humu katoweka kitambo
Ulale salama bossUsiku mwema my family.
Be blessed
Wewe mimi mtani wako toka lini lakini? kama mimi bibi yako au mama sema. Wasinuka, Wanagira,Unaremba sana mtani, piga kazi
Katakuwa kalevi, kulewa kila siku nayo![]()
![]()
Touch nazo ni sheeder
Jamaa atakua kalewa si bureHehe tongozo
Achaga sifa basi niah!!!!Wewe mimi mtani wako toka lini lakini? kama mimi bibi yako au mama sema. Wasinuka, Wanagira,
Hujanibeba ila umetenda na kupokea kama matoleo yako, shukrani anyway na ulale salamaHata niki lala sina deni kwako nimekubeba vyakutosha
AtaandikaAtakipiga picha na kurusha kila siku
Achaga noma basi sisteri?Hujanibeba ila umetenda na kupokea kama matoleo yako, shukrani anyway na ulale salama
Zinaenda vyema, naona kama kawa mida ya popo we ndo unaingiaPoaz mkuu, mishe zinaendaje?
Hata mi naona![]()
![]()
![]()
![]()
Akiizoea ataacha.