Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Tatizo unapenda sana sifa kaka angu weweAchaga noma basi sisteri?
Acha ubabez bhana
Tatizo unapenda sana sifa kaka angu weweAchaga noma basi sisteri?
Acha ubabez bhana
Hahaaa... Pumzika tu mkuuSwaga tu unaonekana hamna kitu.
Mchawi 13,358Zinaenda vyema, naona kama kawa mida ya popo we ndo unaingia
Nikikublock usinichukie sababu wewe kwanza uniambie kama mimi ni bibi au?? Nimejitangaza kwamba mimi kibibi kungwa ila naingia humu kuwacheck ila kama na wewe ni babu basi uniambie na uorodheshe idadi n ya wajukuu na vitukuu ili tushindane. Ikiwezekana wachore na picha zao namaanisha kuchoraaa sitaki kuwa shahidi ukishtakiwa kwenye kesi ya mitandao,.Achaga sifa basi niah!!!!
Hapo sasa mpaka kesho hizo 300 zitakuwa hazipoMchawi 13,358
Jimena 13,068
Huku makapuku tuTatizo unapenda sana sifa kaka angu wewe
Skiliza..kama wew ni bibi single niambie nigongee, mbona unanitisha!Nikikublock usinichukie sababu wewe kwanza uniambie kama mimi ni bibi au?? Nimejitangaza kwamba mimi kibibi kungwa ila naingia humu kuwacheck ila kama na wewe ni babu basi uniambie na uorodheshe idadi n ya wajukuu na vitukuu ili tushindane. Ikiwezekana wachore na picha zao namaanisha kuchoraaa sitaki kuwa shahidi ukishtakiwa kwenye kesi ya mitandao,.
Nliingia kitambo kidogo mkuu nlikua nasoma post zote za kuanzia janaZinaenda vyema, naona kama kawa mida ya popo we ndo unaingia
GentlemenHahaaa... Pumzika tu mkuu
Nae ni kapuku, pia ni fake pastorHuku makapuku tu
Niliona likes zako basi mara moja nikatambua uwepo wakoNliingia kitambo kidogo mkuu nlikua nasoma post zote za kuanzia jana
Ana hatareNae ni kapuku, pia ni fake pastor
Kawaida tu usiogopeDaaa jamani mida hii vp mbna mnapeana makavu tu
Habari ndio hiyoAna hatare
Makapuku jeuri, ama vpKawaida tu usiogope
13,098Habari ndio hiyo
Ntafanya haka kautaratibu kama utambulisho wangu... Ntakua nagawa sana likes chini kwa chini, naionaga hii kwa lizziebettie sometimesNiliona likes zako basi mara moja nikatambua uwepo wako
Achaga hixo. Utambulisho wa nini?Nae ni kapuku, pia ni fake pastor