Makapuku Forum

Makapuku Forum

Dah ustaarabu ni kazi, wakati mwingine natamani kama ungekua unauzwa dukani.. Ningeununua na kuna watu ningewagea bureee
Nimeona jinsi ulivyomjibu jamaa ndo nikaona jinsi ulivyo smart, tupo wengi sana hapa na tuna malezi tofauti na tumekua maeneo tofauti pia, hivyo sometimes inabidi kuvumiliana tu na kuchukuliana kistarabu kama ulichofanya. Nimependa sana, one love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom