Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zaburi 130

5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.

6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.

8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.

Amen

MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA
Na kwako pia mamii...
 
819d7fdaecfa818d70ef4c6bfbef37dd.jpg
Masihara haya na mjomba koboko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom