Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Naskiaga kwa jiranj, siunajua uswaz chumba hakina ceiling board chief, na maskio haya kiwambo cha kuzuia sauti...![]()
![]()
![]()
chief uko byeee wanasemaga watu ya kongoo ...ila wanasema usipofunzwa na wako utafunzwa na wanaokuzunguka