Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji524]Zaburi 130

5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.

6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.

8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.

Amen

MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA[emoji120]
 
[emoji524]Zaburi 130

5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.

6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.

8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.

Amen

MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA[emoji120]
Asante kwa neno la uzima mama mchungaji
Ubarikiwe sana
 
IMG-20171009-WA0015.jpg
 
Back
Top Bottom