shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ni kweli shemela sijakataa, ila nimeiweka sisitizoMe si mtoto wa kike lazima nipende kitu kitamu
Ni kweli shemela sijakataa, ila nimeiweka sisitizoMe si mtoto wa kike lazima nipende kitu kitamu
Haya muulize swali sasaSinaaaa
Naipenda sana yaanNi kweli shemela sijakataa, ila nimeiweka sisitizo
Ndio akuje anijibuHaya muulize swali sasa
Wenye mimba hudai fanta tuuuu![]()
![]()
inahusiana na ninii mimi kutaka fanta na mimba
Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
, kumbe mbutaaa
Nilikuwa najua mbulaa
Basi mie ndio sina mimba na fanta naipenda sanaWenye mimba hudai fanta tuuuu
Zaburi 130 
Asante kwa neno la uzima mama mchungajiZaburi 130
5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.
6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.
7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.
8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.
Amen
MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA![]()