Amina na wewe pia BlessedHopeZaburi 130
5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.
6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.
7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.
8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.
Amen
MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA![]()
MorningMorning all kapuku
Kwenye madini kweli bado pasua kichwa
ANZA WIKI NA BWANA
Mkuu hapo sijui alitumia kifungu cha katiba mpya au
Dunia hii na ujana unatupeleka pabaya ....
ShukraniView attachment 605243Asubuhi njema wadau
Nawatakieni mwanzo mwema wa wiki