Makapuku Forum

Makapuku Forum

a7785526ad54ffb4a7794690e6908c29.jpg
 
Zaburi 130

5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.

6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.

8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.

Amen

MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA
Amina na wewe pia BlessedHope
 
ANZA WIKI NA BWANA
KWA NENO NA MAOMBI
*ZABURI 68:19*
19 Na ahimidiwe Bwana,Siku kwa siku hutuchukulia mzigo wetu;Mungu ndiye wokovu wetu.
Mpendwa hebu tafakari mizigo uliyonayo,
1.Je ni mzigo gani
ambao wewe
umeubeba?
2.Je ni mzigo wa
dhambi?
3.Je ni changamoto za
ndoa, kiuchumi,
watoto, ama ugonjwa au zigo lo lote lile ambalo limekulemea?
Mpendwa yupo *YESU* anayejua kutuchukulia mizigo na kutupa *WOKOVU* .
Mpe Yesu mzigo wako *ACHA* kuteseka na *zigo la dhambi*yeye atakupa * *PUMZIKO la KWELI NAWE UTAMHIMIDI BWANA.*
Barikiwa mtu wa Mungu uwe na wiki yenye *RAHA* na Jumatatu ya kupumzishwa na mizigo yote iliyokulemea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom