Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Halafu jamaa akicheat analalamaHivi mama D kweli mda huu si wa kulala na kakaangu kivurugeee....saa 6 hii sijui kakumbatia mto mlipo au ....
Halafu jamaa akicheat analalamaHivi mama D kweli mda huu si wa kulala na kakaangu kivurugeee....saa 6 hii sijui kakumbatia mto mlipo au ....
Watu wanafiki jamani loh! Eti " nimekupenda muonekano wako"!
Alivyokuwa single ulimlingia leo yuko na mpendwa wake ndio unataka umuharibie poozi
![]()
![]()
![]()
![]()
We ni Lee kabisaaNilitokq nje kurudiii maraaa paaaaaapuuu
Kumbe mlikeshaUsiku mwema bandugu zangu..
Geisha,Eva na Evita ndio wanawake zake huyooNa kwako pia maka kumbatia mto na msalimie geisha
Hv ni binamu yako au baba yako?!
Mbona huna adabu! Pengine walikuwa wanWAjibika na maamako wakutafutie mdogo wako we unang'ang'ania minyimbo usiku mnene
naona unafaidi vippro mwenyewe....ukiwa umelala nikakuwekea, utafurahia kweli, haya mambo yanahitaji ushirikiano bhana.
Anyway kwa kuwa wewe ni aunty yangu sina usemi kwangu nitakuwekea wimbo unaoutaka

...mpendwa, hili kaburi mbona maiti tuliichoma, na majivu ndo vile tena mambo ya gabachori aka baniani. Umeamua kufika pale walipochomea eeh
shikamoo binamuMmmhHapana jaman![]()
hiyo kitu sijanywa mda ujue mpaka taste yake nimeisahau
WahengaaUjue shemela wangu sisi ni watu wazima
Si umuite baba tu![]()
![]()
![]()
asante binamu unajua venye tunakupenda na anko wako
Naona mmekazana vingine vmepza lakini....marhaba binamu, nipo tunapasha viporo
Majirani wemaShukrani jirani...

Ujirani gn Wa kibaha na kigamboni?Jirani mpe habari shunie vipusa vinavyoshukaga na kuingia humu kwangu..
Mngindo ana mineno huyuu...lohNawe pia jirani.. kukuruka na tumosa.. saka watoto jirani.. mtoto mmoja sio mtoto huyo huyo wachawi wanamtaka, huyo huyo ajali zinamska, ushoga, maradhi, madawa ya kulevya.. huoni mwenzio timu nzima na sub plus benchi la ufundi..