Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...najua sana mnanipenda na siku mlipokuja kwenye birthday yangu nilifurahi sana. nikawapiga picha wewe umekaa kwa mbalia na anko kwenye nguo zake za kipedeshee
![]()
duu jamaa halijui kuchezaa...najua sana mnanipenda na siku mlipokuja kwenye birthday yangu nilifurahi sana. nikawapiga picha wewe umekaa kwa mbalia na anko kwenye nguo zake za kipedeshee
![]()
duu jamaa halijui kuchezaaAcha unaa.. ni kibaha na kinyerezi, kigmboni sio jirani yangu..Ujirani gn Wa kibaha na kigamboni?
Koma we nani mngindo.. nyauba weeMngindo ana mineno huyuu...loh

Anakudangaanyaaa anakudanganya huyoo anakudangaanyaaa anakudanganya huyoooJirani yangu huyu.. tuko pua na mdomo
Libayaaaa..yeah, mizigo ya ukweli
![]()
Ulikuwa unagawa chakulamimi ndio huyo nyuma kibonge

...mimi najua hujanywa kabisa, mweleweshe shululu
![]()
Picha: Kama hajalewa aunty yangu hawezi kufanya hivi ana aibu sana
cc BlessedHope
yalaaa mbavu zanguu.., Maka anapenda sana ila anko wangu kazidi kupenda chura yaani yeye anapenda mgongo wa kobe
![]()

ShemelaKoma we nani mngindo.. nyauba wee![]()
![]()
![]()
Liongooo pyeeeKote huko nina vibanda.. kinyerez na kibaha ni majirani.. kasoro kigamboni tuu..![]()
![]()
Yaani unamkana baba d wako sio?Nimejikuta nacheka sana mfyuu zako binamu baba d hajafanana na huyo
...anko wangu sio huyu aliyekaa kifua game, anko wangu kapita kwa mbali kavaa raba za Nike? Uwe unaangalia picha vizuri, ooh, leo kweli umekunywa heineken

Ndo anaecheza amevaa pensi ya bluuUlikuwa unagawa chakula![]()
Nawe piaJmos njema
JagoodNa kwako pia
Mawizi maujambazi deile
Hongereni policcm