Makapuku Forum

Makapuku Forum

...ngoja nikuchoree nilivyo, kwanza nina kichwa kinachopendeza kipara, shingo nene kidogo, mrefu 5.10ft, tumbo huwa linabadilikabadilika ila mara nyingi ni 8pack halafu ni mweusi, macho mekundu. Sivuti sigara wala sinywi pombe, napenda K tatu maana Nyerere alihimiza sana tuzijue.
Nimesahau age kukuambia, age yangu siruhusiwi kugombea tena UVCCM au BAVICHA sasa nipo katikati hapo.

Afu napenda muziki

IKpJmW0.gif
Nimekupenda sana muonekano wako unavutia
...asante sana, sasa hapo nisisikie tena mwanao analeta mambo zake.

Good morning
 
Natamba ×3
kilichonishawishi ni upole wako na heshima yako wazazi wangu wamekusifia sana kwa tabia yako sura yangu ya upole shunie mimi imemvutia baba d wangu shape twiga mwenda pole anajivunia lee empire tupeane mapenzi iwachome na kama no waisome hata tukigombana wasione washike jembe wakalime mapenzi mazuri wakikutana wawili wanaopendana tusizidishe washauri watasababisha tugombane

Woooooooozaaaaaaaaaaaa
Binamu yangu obe kipenzi najua mambo hizi zangu na mjomba ako hutaki kabisa kusikia naomba niweke mie nyimbo ya natamba ya aslay niendelee kumtambia mjomba hata kama umeshaweka nyimbo naomba uniwekee kama hauna bundle nikutumie na ole wako usiweke nakushtaki
Teh teh teh.. naona wamtambia lee empire wako..

Tamba tu bibie, maana hakuna namna, namie nasema tamba kuzid hata sultan tamba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom