Makapuku Forum

Makapuku Forum

MAUTI NA UZIMA ZIPO KATIKA UWEZO WA ULIMI.

Mithali 18:21.
21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Hapa hugharimu wengi bila kujua au muovu kutumia sana nafasi hii kuwaangamizia wanadamu...
Mfano mzazi anamtukana mwanawe kwa maneno makali sana kutamkika na kumlaani...au mume na mke wamegombana maneno makali wakatamkiana yaliyo ya maangamivu....basi hapo watakuwa wamebeba yaliyo ya mauti....bali tukitamka ya baraka....mfano mzazi anamwambia mwanawe mtoto wangu Mungu akubariki utakuwa kichwa daima...uwe baraka kwa ulimwengu...Mungu na akupe kibali popote uendapo...
Kwa kutamka mabaya au mazuri yanajiandika kwenye ulimwengu wa Roho na kufuatilia kwenye maisha ya mtu...
Kwa hayo utakula matunda ya ulichotamka ikiwa ni mbaya mauti yapo ujue...
Ikiwa ni mazuri basi kuna uzima...
TUSILE MATUNDA MABAYA YATOKANAYO NA NDIMI ZETU,MAANA ULIMI UMEBEBA UZIMA NA MAUTI...
BALI TUCHAGUE UZIMA NA TUKATAYE LAANA..
Kwa ndugu zetu...jirani yako...mtoto wako.....mume...mke...wako..mama.....baba...marafiki,wapenzi na jamii kwa ujumla..
MBARIKIWE WANA WA BABA ..LOVE YOU
 
MAUTI NA UZIMA ZIPO KATIKA UWEZO WA ULIMI.

Mithali 18:21.
21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Hapa hugharimu wengi bila kujua au muovu kutumia sana nafasi hii kuwaangamizia wanadamu...
Mfano mzazi anamtukana mwanawe kwa maneno makali sana kutamkika na kumlaani...au mume na mke wamegombana maneno makali wakatamkiana yaliyo ya maangamivu....basi hapo watakuwa wamebeba yaliyo ya mauti....bali tukitamka ya baraka....mfano mzazi anamwambia mwanawe mtoto wangu Mungu akubariki utakuwa kichwa daima...uwe baraka kwa ulimwengu...Mungu na akupe kibali popote uendapo...
Kwa kutamka mabaya au mazuri yanajiandika kwenye ulimwengu wa Roho na kufuatilia kwenye maisha ya mtu...
Kwa hayo utakula matunda ya ulichotamka ikiwa ni mbaya mauti yapo ujue...
Ikiwa ni mazuri basi kuna uzima...
TUSILE MATUNDA MABAYA YATOKANAYO NA NDIMI ZETU,MAANA ULIMI UMEBEBA UZIMA NA MAUTI...
BALI TUCHAGUE UZIMA NA TUKATAYE LAANA..
Kwa ndugu zetu...jirani yako...mtoto wako.....mume...mke...wako..mama.....baba...marafiki,wapenzi na jamii kwa ujumla..
MBARIKIWE WANA WA BABA ..LOVE YOU
Ahsante..

We love u zaid bibie
 
MAUTI NA UZIMA ZIPO KATIKA UWEZO WA ULIMI.

Mithali 18:21.
21 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.
Hapa hugharimu wengi bila kujua au muovu kutumia sana nafasi hii kuwaangamizia wanadamu...
Mfano mzazi anamtukana mwanawe kwa maneno makali sana kutamkika na kumlaani...au mume na mke wamegombana maneno makali wakatamkiana yaliyo ya maangamivu....basi hapo watakuwa wamebeba yaliyo ya mauti....bali tukitamka ya baraka....mfano mzazi anamwambia mwanawe mtoto wangu Mungu akubariki utakuwa kichwa daima...uwe baraka kwa ulimwengu...Mungu na akupe kibali popote uendapo...
Kwa kutamka mabaya au mazuri yanajiandika kwenye ulimwengu wa Roho na kufuatilia kwenye maisha ya mtu...
Kwa hayo utakula matunda ya ulichotamka ikiwa ni mbaya mauti yapo ujue...
Ikiwa ni mazuri basi kuna uzima...
TUSILE MATUNDA MABAYA YATOKANAYO NA NDIMI ZETU,MAANA ULIMI UMEBEBA UZIMA NA MAUTI...
BALI TUCHAGUE UZIMA NA TUKATAYE LAANA..
Kwa ndugu zetu...jirani yako...mtoto wako.....mume...mke...wako..mama.....baba...marafiki,wapenzi na jamii kwa ujumla..
MBARIKIWE WANA WA BABA ..LOVE YOU
 
Muziki: Furahiday, Usivunje Madaraja

Ninakusalimia Kapuku
mheshimika, na leo Ijumaa sijui huwa ni kwa nini huwa najikuta napenda ukiacha bakulutu basi muziki wa reggae na matawi yake huwa unanikosha sana na kunifanya niwe na furahiday nzuri sana. Najua nawe una 'ulevi' wako wa muziki siku na siku. Siku ambayo ninapenda kusikiza taarabu nitakuambia maana sio leo.

Asante sana shululu kwa magazeti, shukrani sana mpendwa wangu wa ukweli husna muba kwa kuwa super sub kipengele cha historia, niseme nini kwako BlessedHope kwa sala na maombi ya kutwa mara tatu, back up ya Lyon Lee imekaa poa sana. Hamjui tu ninyi wadau mnaifanya kapuku forum kuwa sehemu bora kabisa ya kuwepo. Usiseme nimesahau wadau wa ukweli makaveli10 , Tumosa , dumejeuri , SHIMBA YA BUYENZE , dingimtoto , mzeewakungoa , Mndali ndanyelakakomu , Shunie , moneytalk , shedede , Jimena , Mussolin5 , Clkey , Nyagei , genius aka Mond, Transcend , Sakayo , Madame S na wewe mdau unayenisoma sasa hivi.

Muziki sasa, reggae ina siasa nyingi sana na kibao hiki cha Shaggy akishirikiana na mwenzake Chronixx kimenivutia na kunikumbusha nikuambie kuwa katika maisha ni bora kujenga daraja na si kulibomoa lililopo na kwa wanasiasa wetu wa leo wanajitahidi sana yale wanayoamini (wishes) wanadhani ndo tunayaamini na matokeo yake badala ya kutuunganisha na kufanya limited objective ili kutuaccomodate wetu na differences zetu zinazotuunganisha wanajifanya wao wako sawa na sisi hatuko sawa.
Utaipenda reggae na hasa ukiangalia kuna jamaa kashika gitaa zito la bass nyuzi 6, ni lazima urukeruke na hukatazwi kurusha mikono hewani. Wikend Njema Kapuku mwenzangu

 
Muziki: Furahiday, Usivunje Madaraja

Ninakusalimia Kapuku
mheshimika, na leo Ijumaa sijui huwa ni kwa nini huwa najikuta napenda ukiacha bakulutu basi muziki wa reggae na matawi yake huwa unanikosha sana na kunifanya niwe na furahiday nzuri sana. Najua nawe una 'ulevi' wako wa muziki siku na siku. Siku ambayo ninapenda kusikiza taarabu nitakuambia maana sio leo.

Asante sana shululu kwa magazeti, shukrani sana mpendwa wangu wa ukweli husna muba kwa kuwa super sub kipengele cha historia, niseme nini kwako BlessedHope kwa sala na maombi ya kutwa mara tatu, back up ya Lyon Lee imekaa poa sana. Hamjui tu ninyi wadau mnaifanya kapuku forum kuwa sehemu bora kabisa ya kuwepo. Usiseme nimesahau wadau wa ukweli makaveli10 , Tumosa , dumejeuri , SHIMBA YA BUYENZE , dingimtoto , mzeewakungoa , Mndali ndanyelakakomu , Shunie , moneytalk , shedede , Jimena , Mussolin5 , Clkey , Nyagei , genius aka Mond, Transcend , Sakayo , Madame S na wewe mdau unayenisoma sasa hivi.

Muziki sasa, reggae ina siasa nyingi sana na kibao hiki cha Shaggy akishirikiana na mwenzake Chronixx kimenivutia na kunikumbusha nikuambie kuwa katika maisha ni bora kujenga daraja na si kulibomoa lililopo na kwa wanasiasa wetu wa leo wanajitahidi sana yale wanayoamini (wishes) wanadhani ndo tunayaamini na matokeo yake badala ya kutuunganisha na kufanya limited objective ili kutuaccomodate wetu na differences zetu zinazotuunganisha wanajifanya wao wako sawa na sisi hatuko sawa.
Utaipenda reggae na hasa ukiangalia kuna jamaa kashika gitaa zito la bass nyuzi 6, ni lazima urukeruke na hukatazwi kurusha mikono hewani. Wikend Njema Kapuku mwenzangu


Shaggy.. shukrani mkuu, umenikumbusha sehem, yabidi niipakue audio yake niskilize usiku mzima, kwa hisan yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom