Makapuku Forum

Mie japo nilifeli ila picha yake nilioona katika kitabu


....bora wewe uliona picha, mimi hata kusoma nilikuwa sijui, wakanirudisha la pili ila nikawa nasoma na wa la kwanza ndo baadaye nikafaulu la nne. Niliona picha na nikasoma kumbe anaitwa Mtemi/Chief Mkwavinyika Munyigumba Mwamuyinga (1855–19 July 1898) aka Mkwawa
 

Mie tatzo chimbo ilizid, sikuenda shule siku zote ila siku ya mkwawa nikabahatika kwenda, tatzo mtihani hawakutoa kwenye mkwawa nikapata sufuri bin sifuri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…