Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
...asante sana mpenzi wangu wa nguvu, hilo ndo nalijua na unalijua mengine chai tu. Asante kwa kuweka tabasamu usoni kwangu kila wakati
![]()

Asante mama watoto wangu kwa chakula kizuri sana
....sure! Na nimesahau mengi sana tu, asante kwa kunikumbusha, sasa nimkumbushe tu kuwa kwa kuwa yeye hakuwepo kuna mengi yameendelea, mfano, nilinunua saa mpya na kwa sasa nina simu mpya Samsung Galaxy, mengine atayaona akitumia muda wake humu japo kidogo
![]()

KeshapoaCjambo,pole na majukumu
The book, ubongo mpana,briz,invisible user n .kKwa majina tu hujambo
katishaUchaubamaThe book, ubongo mpana,briz,invisible user n .k![]()
![]()
katisha
Ndio masikio yale yameparama kusikia hilo jambo.. atafurahiaje..![]()
![]()

Aahh! Nmezeeka mie kichwa kimekuwa na ram mb 2.. nna ratibu mambo kwa mwendo wa kinyonga.Makofi et
Salama tu shemej.. namshukuru muumba.Poa sana hbr ya mihangaiko
Briz ni tofauti..The book, ubongo mpana,briz,invisible user n .k![]()
![]()
katisha
Aahh! Nmezeeka mie kichwa kimekuwa na ram mb 2.. nna ratibu mambo kwa mwendo wa kinyonga.

Hahahahahaaaaaa>Kutoka Genda Heka mpaka leo...mmmh
Briz ni tofauti..

Hahahahahaaaaaa
Genda heka, kila wakati nilipokuwa nikiiona hii id nilikuwa nacheka sana
karibu sana kitabu