Makapuku Forum

Makapuku Forum

May b.. sisi kina nani mpaka tuseme hapa, no 1 knows, wht tommorow brings.. ikirud itakuwa poa sana..

But mie nichukue nafas hii kuwashukuru wote ambao nilipopotea wao wapo walikuwa wakiliendeleza guruumu la makapukuz, am proud of u, ilianza kama masihara but now tunaelekea kuwa kama ndugu.. mnajijua ninaowaongelea hapa, jipigien makofi kimya kimya..
 
a95.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom