Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
My sweetheartNiko poa kabisa
My sweetheartNiko poa kabisa
Ni fresh EdenJamani wapenzi na msio wapenzi humu jukwaani mko poa
Karibu tenaHata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!
1856 - Karl Peters, mwanzilishi wa koloni la Afrika ya Mashariki ya Kijerumani alizaliwa
Aliaga kwamba ana majukumu mengi yatakapopungua tutamwona hapaBitoz hamna mwenye habar zake, ila niliporud nilimkuta.
1918 - Martin Ryle, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa1974
Alizaliwa
1967 - Debi Derryberry, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani alizaliwa
Umesahau hadithi....oh, yote uliyoandika yapo, na zaidi. Labda kama unapenda yaletwe na walewale kwa mtindo uleule.
Kuna Magazeti , UF/BBC, Historia, Je wajua, muziki, Upuuzi wa Lee, Sala na Nukuu za Nguvu.
Kuna kitu umekikosa mdau?

Tuko poa ww jeJamani wapenzi na msio wapenzi humu jukwaani mko poa
Binamu shikamo...muongozo unakujia muda si mrefu
.. makaveli10 kasema yote kuhusu huyu mfalme wa Roma1976 - Francesco Totti, mchezaji wa kandanda wa Italia alizaliwa
1982 - Lil Wayne, mwanamuziki kutoka Marekani alizaliwa
Na huo ndio mwisho Wa Leo katika historia tukutane kesho nami yule yule mpendwa Wa obe na mke mweza wa mama mchuchu![]()
![]()
![]()
kapuku mwenzangu chukua hii" jifunze kutabasamu hata km una hasira hata km una njaa hata km .......get smile
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Team smile
Husobe
Umesahau hadithi![]()
Cjambo,pole na majukumuMarhaba binamu, hujambo wewe?
....sure! Na nimesahau mengi sana tu, asante kwa kunikumbusha, sasa nimkumbushe tu kuwa kwa kuwa yeye hakuwepo kuna mengi yameendelea, mfano, nilinunua saa mpya na kwa sasa nina simu mpya Samsung Galaxy, mengine atayaona akitumia muda wake humu japo kidogo
![]()
kwelo kabisaKwa majina tu hujamboThe Book
Naikumbuka sanaSijui wangapi mnaikumbuka hyo avatar niliyoweka now!