Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna nyakati nazimiss sana hapa KF,nyakati ya jonax,bitoz,werasson,jimena,quigley,sweetiepie na wengine...
Kila nikija namkuta shululu tu...
Dah ebbhana eeh, ndio hvyo, hata mie nilivyotoka na kurud sijawakuta ndugu zangu, ila sio kesi sana, quigley niliwasiliana nae jana aliniambia sote tulimkimbia na akayeya, sweetpie ametoka kabisa wengine nahis majukumu ya kila siku.
 
Looo makavu liveee bila chengaaa

Kauzuuuu.....zaidi ya dagaa
Hatupindishi mambo..

Nataka tetra amchukue jumla sio aishie kumkopa tuu.. ila ye anahis tofaut, bunadamu bhana, unaweza ukampa mtu buku kwa moyo mmoja baada ya kuona ana njaa ila yeye akatafsir ni unajikweza, mpenda sifa, unataka uonekane, ila ndvyo ilivyo hatuwez kuwa sawa

Haka kanahis nakaonea wivu wakat hata kwa mkopo nisingeweza kukachukua, hata mahali kanilipie kenyewe.. am sorry wajameni
 
Dah ebbhana eeh, ndio hvyo, hata mie nilivyotoka na kurud sijawakuta ndugu zangu, ila sio kesi sana, quigley niliwasiliana nae jana aliniambia sote tulimkimbia na akayeya, sweetpie ametoka kabisa wengine nahis majukumu ya kila siku.
Hata mimi nilipotea kwa muda mrefu,,,,pengine nao watarudi at any time!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom