Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Cheko hlo veeeepWasalaaaam
Cheko hlo veeeepWasalaaaam
KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
MITHALI 6

Amina shemKUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
MITHALI 6
2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
NAWATAKIA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()
KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
MITHALI 6
2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
NAWATAKIA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()

Unataka kuniambia hajiwez.. na we umejuaje mkuuJamaa anakitambi huyoo cha minyoo atwezaje?

Kula chumvi uongeze siku za kuishi.....kuna usafi hadi kupiga deki unahisi utachafua. Yaani kitonga unaisikia utamu hadi unaanza kusaka tiba ya kisukari
Yawezekana wakapiga kavu kavu.....uadilifu utok wapi ndugu yangu, utajisumbua bure kutafuta kondomu kwenye nyumba za watawa
Duh.. demi, shunie bado na jenny unataka.. we hata kwenye ukiboko umepitiliza we ni faru.Mmmmmh ila ukaona kuninyima namba ya jeny ntafaidikaa ??
Niambie mke wangu mpenziBaba watoto
Niko gud kabisa my swiPoa,uhali gani
AmenKUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
MITHALI 6
2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
NAWATAKIA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()
Chukua faida za tende mwilini, jumlisha na maziwa hamna la ziada labda utamu wake unanikosha, napenda ladha yake.Hivi juice ya tende ina nini jirani
Fundi..1976 - Michael Ballack, mchezaji mpira kutoka Ujerumani anazaliwa
Inanihusu hii asilimia zote za dunian mpaka mbinguni..Maka kumi

KUWA MWANGALIFU NA MANENO YAKO UTAMKAYO.....
MATHAYO 12
37. Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
MITHALI 6
2.Basi umetegwa kwa maneno ya kinywa chako, Umekamatwa kwa maneno ya kinywa chako.
NAWATAKIA USIKU MWEMA MLINDWE NA DAMU YA YESU![]()
ubarikiwe mtumishiSalaam mkuu!Wasalaaaam