Makapuku Forum

Makapuku Forum

Zaburi 119:140,165
[140]Neno lako limesafika sana,
Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.
[165]Wana amani nyingi waipendao sheria yako,
Wala hawana la kuwakwaza.


DAMU YA YESU IWAFUNIKE
Ahsante mama mtumishi..
Biblia. Waefeso 6:11-12
[11]Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
[12]Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.


HALELUIYA HALELIIYA

Shukran sana, baada ya miez mi3 biblia yote itakuwa kichwani...
 
IMG-20170927-WA0018.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom