Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ndoo maana kumbee ila mtoto wa mama ashura hapatikan...mimi uongo dhambi, mimi akiwa fundi basi hata awe mchoma kaukau au vibaragala basi mimi watasingizia limbwa-ta
Ndoo maana kumbee ila mtoto wa mama ashura hapatikan...mimi uongo dhambi, mimi akiwa fundi basi hata awe mchoma kaukau au vibaragala basi mimi watasingizia limbwa-ta
Duh... Ila yote kheri tu, ile haina ya huyu muuza chapat wala muuza mkaa, al muhimu ni kuwa safi tu.. mengine ni kitonga
Ahsante kwa kunijuza.
Ila je ana uadilifu kama ilivyoandikwa katika kitabu cha mwenyez mungu..??
safi kabisa, za kwakoShemela za wewe hapo
Mmmmmh ila ukaona kuninyima namba ya jeny ntafaidikaa ??...kuna usafi hadi kupiga deki unahisi utachafua. Yaani kitonga unaisikia utamu hadi unaanza kusaka tiba ya kisukari
Sijuiii anawapendeaa nn
Ulizaaaaaaqq
Alafu haikuwa replay yako...uadilifu utok wapi ndugu yangu, utajisumbua bure kutafuta kondomu kwenye nyumba za watawa
Binamu wewe si hukutaka nijueee ....na mm nimetonywa na kilichotokeaa jana kabla ya kuingia nimejuzwaaa....
Hivi ukija kukatwa mapanga kijijin nasemajeee
Situmiii bahat mbayaNilikuona Fb
Utasema mengiii ila jana umeaibikaaa...mbio zangu mapanga hayafai labda mishale. Ila anko unatisha yaani isingekuwa ile kinga ya babu sasa hivi sijui ungekuwa umeshanasiana mara ngapi? yaani kanda ya kaskazini hunasuki kabisa
Shunie yupiii huyo aliyekubaka etiiiiKanibaka Shuniee naomba na leo anibakee tenaaa..
Mmmmmh ila ukaona kuninyima namba ya jeny ntafaidikaa ??
Hivi juice ya tende ina nini jiraniHahaa... Napenda vijana kama hawa, akirud mwambie anywe juice ya tende bill juu yangu.