Makapuku Forum

Makapuku Forum

Chukua faida za tende mwilini, jumlisha na maziwa hamna la ziada labda utamu wake unanikosha, napenda ladha yake.

Katika quraan 16:66 maziwa yametajwa kama ndio kinywaji bora
Wakati bi maryam anajifungua nabii issa alioteshewa mtende, mtume pia alikuwa anapenda tende

Mengine ni maneno ya watu tuu
Nimekupata jirani
 
Biblia. Waefeso 6:11-12
[11]Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
[12]Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.


HALELUIYA HALELIIYA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom