makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,509
Hapo awali alipoumbwa hawa hakikuwepo, ila mungu akakiweka ila faza adam apate raha duniani, na kumbuka adamu alikuwa katika bustan ya eden moj kati ya bustan za peponi, ila still papuchi ilikuwa muhimu zaidHivi ngoja nikuulizeew...mfanoo kisingelikuwepooo au kitu kipo usoniii ....nipe maono yako
Mungu ni mwerevu mnoo, werevu wake hauna mipaka, ngumu sana kuweka jambo hilo mahala pa wazi..