Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,645
1897 - Mwenye heri Papa Paulo VI (kwa jina la Giovanni Battista Montini) alizaliwa
1897 - Mwenye heri Papa Paulo VI (kwa jina la Giovanni Battista Montini) alizaliwa
Sana aisee shemela, niwa kuwahurumia tuAcha tu shemela ndio uone vijana na matani yao hawajui kama wengine tunaweza kuwazaa hizi avatar fake zinawadanganya sana
1936 - Winnie Madikizela-Mandela, mke wa kwanza wa Nelson Mandela alizaliwa
HBD Michael Ballack1976 - Michael Ballack, mchezaji mpira kutoka Ujerumani anazaliwa
1949 - Jane Smiley, mwandishi kutoka Marekan anazaliwa
Kabisa shemela ni kuwahurumia sana na kumuacha kama alivyoSana aisee shemela, niwa kuwahurumia tu
Asante shemela, nasi tunakupenda piaNawapenda tu mimi jaman![]()
![]()
Asantee...tuzo hii katika Tia aliipata mwaka 1904 na anakumbukwa hadi leo kwa kuangalia ushawishi wa mazingira na tabia tulizonazo katika kujifunza. Alimtumia zaidi mbwa kwenye tafiti zake na moja ya matokeo makubwa yanayokubalika hadi leo ni kuwa mazingira humfanya mtu afanikiwe au asifanikiwe.
na kwa wanafunzi au watumishi, ukimpongeza na kumfanya ajione anaweza basi mafanikio hayaepukiki
![]()
Asantee...alijikit zaidi kwenye misuli na upasuaji wa misuli.
![]()
muwe na asubuhi iliyo njema kwenuHBD Michael Ballack
Shunie yupiii huyo aliyekubaka etiiii
...achana na makandokando mengine ya kibinadamu, Winnie au Mama wa Taifa la SA ni mwanamke mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa wanachama wa ANC na weusi wa SA
![]()

1925 - Paul Newman, mwigizaji wa filamu kutoka nchini Marekani alifariki