shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mijichooo km fundi saa anatafuta mshale Wa sekunde
Husobe .....Mijichooo km fundi saa anatafuta mshale Wa sekunde
Husobe kapitaaa
Sawaaaa.....nimekusoma km fiestaHusobe .....![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Macho kama binamu anaokota shanga za mwajuma
Bangiii hizo mpelekee shededeBinamu lee weka hata 4 banaa
Mdomoo huooSawaaaa.....nimekusoma km fiesta
Huyo binamu wako keshakuwa baba mkwe wako umuheshimiee
ZABURI 121
MJIPENDE ZAIDI KWA KUUTAFUTA UFALME WA MUNGU KWA BIDII..SHALOM SHALOM
ZABURI 121
5 BWANA ndiye mlinzi wako; BWANA ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA IBADA NJEMA NAWAPENDA MJUE...![]()
![]()
MJIPENDE ZAIDI KWA KUUTAFUTA UFALME WA MUNGU KWA BIDII..SHALOM SHALOM
![]()
luv u too momHhmm.. ujue na mie maskani ni kigamboni..Kwa mama mchuchu
Bado.. hata maombi sijapeleka.Mama ashakukubaria ?
Mbona cheko jombaa..
Vip hali jirani.. maana ndio naamkaMorning all kapuku
Ahsante n kwako pia.ZABURI 121
5 BWANA ndiye mlinzi wako; BWANA ni uvuli mkono wako wa kuume.
6 Jua halitakupiga mchana, Wala mwezi wakati wa usiku.
7 BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.
8 BWANA atakulinda utokapo na uingiapo, Tangu sasa na hata milele.
NAWATAKIA JUMAPILI NJEMA NA IBADA NJEMA NAWAPENDA MJUE...![]()
![]()
MJIPENDE ZAIDI KWA KUUTAFUTA UFALME WA MUNGU KWA BIDII..SHALOM SHALOM
![]()
Asante mpendwa wa obeHongera kwa 279k