shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,912
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ha hahahahah, labda ayabebe maji kwenye ndoo , akibeba kwenye karai itakuwa ndo ujentoromani
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Ha hahahahah, labda ayabebe maji kwenye ndoo , akibeba kwenye karai itakuwa ndo ujentoromani
Nzuri shemeji, vijana wetu hawajamboNzuri tuu shem
Za wewe apo
Dah.. sishangai wewe na husna muba kuwa mtu na kipusa wake.. mnaendana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Morning joh..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwemaMahaba nifinyange..
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Morning Tumoo
Ukiona hvo ujue nmekumiss nakuchokoza ili upige keleleshululu asante sana kwa magazeti.
Asante BlessedHope kuanzisha furahiday hii kwa sala na nukuu za biblia.
Tuwe na Ijumaa njema Makapuku wote.
,.afu Tumosa jana umeniita 'mkuu' , nilikuangalia tu, nikajua labda ulikuwa kwenye promotion ya bia mpya. Iwe na furahiday njema
Nikikupa wewe wambea watasema mengine acha ajr nimpe mwenyewe
[emoji120] [emoji120] [emoji120] nawe pia roho ya SakayoWakuu.
Muwe na Ijumaa njema
Tunashukurunawasalimu !
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]....you know, I was like, seriously! Nikajiona ninakuwa staba au vipi.
Anyway, najua akitaka kuniharibia siku huwa anakimbilia gear hiyo.
Ha hanahahajajaj
Hbr ya asubuhi shemelaMgawe hata kwa senti mbili..
Morning MondAmani ya yy aliyeweza kutufikisha asubuhi hii tukiwa wazima wa Afyaa aifanye siku yako kua njema..
Good morning Brothers & Sisters..
[emoji134] [emoji134] [emoji134] basi pambana na hali ykoAku...
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji23] [emoji23] [emoji23]
kwema asee@ nimemuona mama mchuchu kama wengi wanavyomwita...asante sana mdau, heshima kwako pia.
Ulipotea hapa jukwaani, kwema lakini? Unajua kuwa BH karudi na nimefurahi sana kumuona yaani am like ..
![]()
My sweetheartAmen, Asante mama mchungaji kwa neno
Im here my swiMy love Tumosa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]...sana tu, na hapa namsaidia kupaka wanja aende masjid nami nikasake hela ya bakulutu leo
![]()