shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ha hahahahah, labda ayabebe maji kwenye ndoo , akibeba kwenye karai itakuwa ndo ujentoromani

Ha hahahahah, labda ayabebe maji kwenye ndoo , akibeba kwenye karai itakuwa ndo ujentoromani

Nzuri shemeji, vijana wetu hawajamboNzuri tuu shem
Za wewe apo
Dah.. sishangai wewe na husna muba kuwa mtu na kipusa wake.. mnaendana![]()
![]()
![]()
Morning joh..
Ukiona hvo ujue nmekumiss nakuchokoza ili upige keleleshululu asante sana kwa magazeti.
Asante BlessedHope kuanzisha furahiday hii kwa sala na nukuu za biblia.
Tuwe na Ijumaa njema Makapuku wote.
,.afu Tumosa jana umeniita 'mkuu' , nilikuangalia tu, nikajua labda ulikuwa kwenye promotion ya bia mpya. Iwe na furahiday njema
Nikikupa wewe wambea watasema mengine acha ajr nimpe mwenyewe
Tunashukurunawasalimu !
....you know, I was like, seriously! Nikajiona ninakuwa staba au vipi.
Anyway, najua akitaka kuniharibia siku huwa anakimbilia gear hiyo.
Ha hanahahajajaj

Hbr ya asubuhi shemelaMgawe hata kwa senti mbili..
Morning MondAmani ya yy aliyeweza kutufikisha asubuhi hii tukiwa wazima wa Afyaa aifanye siku yako kua njema..
Good morning Brothers & Sisters..
kwema asee@ nimemuona mama mchuchu kama wengi wanavyomwita...asante sana mdau, heshima kwako pia.
Ulipotea hapa jukwaani, kwema lakini? Unajua kuwa BH karudi na nimefurahi sana kumuona yaani am like ..
![]()
My sweetheartAmen, Asante mama mchungaji kwa neno
Im here my swiMy love Tumosa
...sana tu, na hapa namsaidia kupaka wanja aende masjid nami nikasake hela ya bakulutu leo
![]()
